Wana JF wa Morogoro tujuane hapa

Wana JF wa Morogoro tujuane hapa

Now ni samakisamaki, ni hatua chache from home, mie nina boonge la para linang'aaaaa hilihili linanifaa.

samaki samaki si jina jipya tu bana, afu wewe ukute ni jirani yule mwenge ngebe maana na yeye ana bonge la upara
 
Hahahaaaaa! Khaah umenikumbusha mbaali, jf bwana!
Mpz na wewe ni wa morogoro?

Hahaha naona weekend hii bado mabalaa ya weaves na migutambi haijaanza

Moro ndo permanent settlement dear, huku miji ya watu nagongea tu
 
Hahaha naona weekend hii bado mabalaa ya weaves na migutambi haijaanza

Moro ndo permanent settlement dear, huku miji ya watu nagongea tu

Kumbe kama mimi! Ila now nipo likizo.
 
Aaah basi itabidi siku moja tutafutane tu kwa kweli tumdiscuss mito na gutambi gwake live teh

Kabisaaa, it ll be sooo wonderfull dear

Hahaaa nitawapiga miofa ya kufa mtu siku hiyo, ila duuuh sipati picha atoto atakavyokuwa nawaza nauli nitawatoa kiasi gani mwisho wa siku!! anaweza awe nasi physically tu lakini kumoyo anawaza tumalize meeting fasta ajue how much she has earned today!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom