Ninayo,,, mkuu Acid ameshanipatia tayari.....si utakuwepo?
Yah......nitakuwepo...Yaeda mpaka februari mwakani.....
ahaaa! So, sasa ivi ni likizo tyme eeh?
ahaaa! So, sasa ivi ni likizo tyme eeh?
iko wapi wewe bana ?
FirstLady 1 hiyo avatar yako .........................nsijekata rufaa bana
Mkuu, tumeambiwa ni kwa Dar-Branch tu...Usiache watu waanze kunanihiino bana.MEMKWA NI KWA WOTE.... tena wote kabisa bila kubagua
ei sweetie, kwani umebadili jinsia siku hizi?
Mkuu, tumeambiwa ni kwa Dar-Branch tu...Usiache watu waanze kunanihiino bana.
Nyorosha hii maneno mkuu.
Du! wengine tuko nje ya msitari. Next time jamani mtupe nyepesi. Niko Arusha tangau 20 hivi narudi dar tarehe 3, I could have attended.
Si mbaya kwa waliofika basi enjoy!
Hahahaha darl hapana ila naona ananitega bana, nahisi kuanza kuota ile jinsia nyingine ya tatu lol
haaa kwa nini jamani nikutege luv, nimeuliza tu,
FirstLady 1 hiyo avatar yako .........................nsijekata rufaa bana
Sio wewe nyonda, ni FL1 ndo ananitega na avatar yake
Sio wewe nyonda, ni FL1 ndo ananitega na avatar yake
Kaizer bwana sijui ana hangover