Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
heeheh ngoja nirudishe ile nyingine ushauri nasaha na vipimo unahitajika
Hiyo hiyo FL1...."cheusi mangala, usibadili mwendo huo mangala eeh mangala eeh, binti africa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heeheh ngoja nirudishe ile nyingine ushauri nasaha na vipimo unahitajika
kwani ina maana umepitia ile sredi ya pauline?:redfaces:
Hapana FL1....nikikuwambia kinachonipa mawazo hapa......
Pale nimepita tu.........................mie nshastaafu huko menopozi imekuja vibaya yaani ni ganzi tupu.
nini mbaya juu yako ? kidate kimegonga mwamba
Kaizer mwambie mtoa hii post arudishe ile picha yake aliyovaa T.shirt naimiss kweli kweli :A S-alert1:Imagine.....:embarrassed::embarrassed: Help!
Kaizer mwambie mtoa hii post arudishe ile picha yake aliyovaa T.shirt naimiss kweli kweli :A S-alert1:
Mpenzi hujambo.....nimekusikia kwa mbali umejiunga na MEMKWA.....nasubiri wewe hapa HQ....Happy New Year
Winding up 2010....only some few hours to go....
Nawatakia mwaka mpya wa fanaka wana MEMKWA wote....hata wasio wana MEMKWA....
Hahahaha Keizer wala sitanii asubuhi yawezakukuta ukingali unachezea ile ncha............mjimama wa watu nimetulia tuli kama niko kwenye stakeholders' meetingyaani hapo unantafuta 'nifunge mwaka na wewe' sasa MJ1...maneno gani ayo?
Hahahaha Keizer wala sitanii asubuhi yawezakukuta ukingali unachezea ile ncha............mjimama wa watu nimetulia tuli kama niko kwenye stakeholders' meeting
Yaani huwezi amini niko hapa nasubiria mwaka namkuta Wiselady na RayB wako hapa. Happyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!new!!!!!!!!!!!!
Yaani huwezi amini niko hapa nasubiria mwaka namkuta Wiselady na RayB wako hapa. Happyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!new!!!!!!!!!!!!
happy new year
</p>Hahahaha Keizer wala sitanii asubuhi yawezakukuta ukingali unachezea ile ncha............mjimama wa watu nimetulia tuli kama niko kwenye stakeholders' meeting