Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
hahaaaaaaa.. ni vyema baadhi ya wazee tulibaki kulinda boma ati, ingekua balaa... pancha wapi ndugu yangu, nimebadili tairi kabisa.... Tanga raha mwana!!!

Badili na engine oil kabisa. Safari za wazee huwa hazitabiriki. Tanga yaweza ishia Mombasa. Passport iko valid?
 
Usijinyonge babe! Mi.natabakia na nani WL. Mwenyewe anakona nyingi siku hizi na uhakika kwa MJ1 ni wa mashaka Big ananithibiti sana kuhusu hiyo avata weka unayotaka hasa ile uliyoivaa leo asubuhi na kesho usiache kubadilisha mwaya
Derimto.......MJ1 is not rechabo 2011.

Hujambo lakini?
 
Mkuu Acid, ulimanage vipi kurudi from Tanga maana historia ya huko sio ya kawaida?

Hommie Asprin hebu do ze nidiful asap...


catch with u later....
 
Mkuu Acid, ulimanage vipi kurudi from Tanga maana historia ya huko sio ya kawaida?

Hommie Asprin hebu do ze nidiful asap...


catch with u later....

Yaani viongozi waandamizi wa ISC wote hamkuwepo kwenye hii hafla?

Lazima turivenji bana. Hommie wahi twakusubiri hapa na daktari bingwa wa macho.
 
Badili na engine oil kabisa. Safari za wazee huwa hazitabiriki. Tanga yaweza ishia Mombasa. Passport iko valid?
kila kitu tayari mee kesho tunaanzia bagamoyo (confirmed).... nimeweka na box la kilimanjaro premium water ndani

keshokutwa, tutacheki breki zitasimama wapi
 
Mkuu Acid, ulimanage vipi kurudi from Tanga maana historia ya huko sio ya kawaida?

Hommie Asprin hebu do ze nidiful asap...


catch with u later....
tanga huwa hatuagi... ila kurudi ni lazima ati... ushaona mtu anacheza kiduku na dera weye?? balaa tupu mazee, maan dera linadunga kama ile hopper ya mashine ya kusaga
 
Soma tu Babu.........ni kweli not richabo ...............nisaidie kupronaunsi hiyo siginecha yako.........soma kwa sauti nisikie unavyoitamka

Ha ha ha ha lol mjukuu asubuhi asubuhi unataka niende hospitali kwa ajali ya kujing'ata ulimi
 
tanga huwa hatuagi... ila kurudi ni lazima ati... ushaona mtu anacheza kiduku na dera weye?? balaa tupu mazee, maan dera linadunga kama ile hopper ya mashine ya kusaga

Ha ha ha ha lol aisee inabidi wakufungulie branch Tanga uwe based huko huko ila una bahati kweli ukienda Tanga huwa unarudi wengine huwa hawarudi kama alivyosema Kaizer
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom