Same to you darling. Nimekumisi vibaya. Unajua nilipotea nikapoteza mpaka pasiwedi ya JF.
Hivi mara ya mwisho nlikukagua lini? Usijepata matiti phobia tafazali.
Ulikuiwa wapi chalii wangu hadi sa hv haujazinduka?
Same to you darling. Nimekumisi vibaya. Unajua nilipotea nikapoteza mpaka pasiwedi ya JF.
Hivi mara ya mwisho nlikukagua lini? Usijepata matiti phobia tafazali.
dah...Happy New Year bana......pamoja na kututosa bado tunakupenda
mmmmmhhhh babau mi nilizani kukaguana hiyo ni ya mwaka jana..
na mwaka huu nilifikiri utakuwa na kazi mpya ..
hahaha lol
babu hata mi nime ku miss sana yaani..
vizuri kukuona tena ..
cha muhimu zaidi naoana umeweza kutunza meno na kukata kucha....
Aisee preta hiyo avatar yako wallah imeniondolea udhu!
enyi watwana ninaombeni muisome kwa nguvu ili nami niisikie inavyotamkwa........pronaunsiasheni yake imekuwa ngumu sana kwangu ....nahitaji kuigilizia
Babu umeanza eheeee
Dogo signature yako nimeng'ata ulimi. Hiyo ni sababu nyingine ya kukutana leo kula biya.
Afrodenzi...ni nini hivyo lakini.........
nini tena kulikoni Da Preta..
mi nilizani huu ni mwaka wetu lakini nona tumeanza na malamishi..
ka nilikukosea mwaka jana nisamehe naomba...
hahahahah lol
Heri ya mwaka mpya ..
we nilikupa kazi ya ulinzi shirikishi kwa wajukuu arusha. Sasa naona unataka kuvuka mipaka umshirikishe na babu yako. Be warned. Ten sauzend unayo?
Nakuja....
Nimekumisije!!!
nini tena kulikoni Da Preta..
mi nilizani huu ni mwaka wetu lakini nona tumeanza na malamishi..
ka nilikukosea mwaka jana nisamehe naomba...
hahahahah lol
Heri ya mwaka mpya ..
SLOGAN YA MWAKA HUU NI BABU HAKUBALIKI KAMA MALARIA AMBAVYO HAIKUBALIKI
Babu umeanza eheeee
na mimi je....?
Sasa ikawaje hukuja Arusha kumkumbata babu?
hahahaahh lol
ilikuwa naomba usione hiyo lol
usijali mkuu....nenda kautie tena...he he...mzima wewe
usijali mkuu....nenda kautie tena...he he...mzima wewe
mmmhhh
sijua hata nianze vipi kukueleza..
finest alinikataza kukuona