Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Same to you darling. Nimekumisi vibaya. Unajua nilipotea nikapoteza mpaka pasiwedi ya JF.

Hivi mara ya mwisho nlikukagua lini? Usijepata matiti phobia tafazali.

mmmmmhhhh babau mi nilizani kukaguana hiyo ni ya mwaka jana..
na mwaka huu nilifikiri utakuwa na kazi mpya ..
hahaha lol

babu hata mi nime ku miss sana yaani..
vizuri kukuona tena ..
cha muhimu zaidi naoana umeweza kutunza meno na kukata kucha....
 
Same to you darling. Nimekumisi vibaya. Unajua nilipotea nikapoteza mpaka pasiwedi ya JF.

Hivi mara ya mwisho nlikukagua lini? Usijepata matiti phobia tafazali.

Babu umeanza eheeee
 
mmmmmhhhh babau mi nilizani kukaguana hiyo ni ya mwaka jana..
na mwaka huu nilifikiri utakuwa na kazi mpya ..
hahaha lol

babu hata mi nime ku miss sana yaani..
vizuri kukuona tena ..
cha muhimu zaidi naoana umeweza kutunza meno na kukata kucha....

Sasa ikawaje hukuja Arusha kumkumbata babu?
 
enyi watwana ninaombeni muisome kwa nguvu ili nami niisikie inavyotamkwa........pronaunsiasheni yake imekuwa ngumu sana kwangu ....nahitaji kuigilizia

ha ha ha ha lol!!!!!! Nilifanya mazoezi ya kuitamka mara 50 hivi kabla ya kuiweka hapa halafu nilienda sana hosiptali kutibu ulimi
 
we nilikupa kazi ya ulinzi shirikishi kwa wajukuu arusha. Sasa naona unataka kuvuka mipaka umshirikishe na babu yako. Be warned. Ten sauzend unayo?

kwahiyo ndio unafanya uratibu wa mpango wa memkwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom