Hebu soma bila miwani vitu vingine miwani hahitajiki kabisa
Aisee inabidi tumtafute bibi ASAP....
OMG! Mawani yangu iko wapi?
Ngoja babu arudi kitandani!
Bibi naye ana wivu na uzee wote ule. Eti mawani yangu yanionyesha mabaya. Hata simwelewi.
..............Babu unanijua vema mjukuu wako...sisemi uongo wala situngi.......niliiona live tena kwenye menu ya chakula pale hotelini lol
Hahah.... Tatizo lako na wewe babu umezidi mno kutoa macho!! Mwe...
hahahah Abari ake Loner wa The Finest??Pole sana ila hayo nidyo maisha bora kwa kila mtanzania... Labda ilikua imported from Europe ama USA na siyo brand ya CHINA...
Babu ukipewa menu sio unaangalia herufi ya kwanza ya chakula unachotaka..........pitia menu yote herufi kwa herufi bana.We subiri, una kesi ya kujibu. Badala ya kusoma menu ya misosi we unahangaika na bei ya vifanyio. Lazima nikuchape bakora.
Babu ukipewa menu sio unaangalia herufi ya kwanza ya chakula unachotaka..........pitia menu yote herufi kwa herufi bana.
Mwanzoni nlijua ni aina ya chakula kule mndeny bana hadi Babu mnoko Finest aliponitafsiria ati........... lol vifanyio
OMG! Mawani yangu iko wapi?
Ngoja babu arudi kitandani!
hahaha!babu staili yako ya kurudi kitandani bado inaendelea??wasalimie wajukuu zako wote waambie heri ya mwaka mpya,,na mimi narudi kitandani
Tatizo unavyopost via mobile nashindwa kukugongea senksi.
hahaha!babu staili yako ya kurudi kitandani bado inaendelea??wasalimie wajukuu zako wote waambie heri ya mwaka mpya,,na mimi narudi kitandani
Lol! Mjukuu mimi naona huyu babu yetu ni bora tukamuweka kwenye ule mpango wa MEMKWA aende akapumzike kidogoBabu ukipewa menu sio unaangalia herufi ya kwanza ya chakula unachotaka..........pitia menu yote herufi kwa herufi bana.
Mwanzoni nlijua ni aina ya chakula kule mndeny bana hadi Babu mnoko Finest aliponitafsiria ati........... lol vifanyio
hahahah Abari ake Loner wa The Finest??
We bana we kwa kweli mko juu chalii angu................2500!! hapo ni kama wekundu ati.
We! Thubutu! Maana hautaonekana ila kwa ushauri anaweza kuweka uso tunaweza kuona macho na meno yake meupe ya kule mikoa ya kwetu.
You too kaka ncha........una kesi ya kujibu nini kumwacha mgeni katikati ya jiji usiku ??
namba tisa kesi yako haiamuliki
Preta, heri ya mwaka mpya.
umekuja na avatar nzuri! nakupa 5. kesi gani tena jamani? maana MJ1 nae ananiambia nnina kesi kubwa