Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
WL nakupigia simu jana tuanze safari sikupati!!!! hahaha nimejiondokea kwa unyonge.
 
WL nakupigia simu jana tuanze safari sikupati!!!! hahaha nimejiondokea kwa unyonge.

usitake kuniudhi,,mbona mi nimepiga ikapokelewa na mdada?!siamini kama umeniacha!
 
Nimesha kua wa the finest... lol... Hii michakato mbona imenipita mimi... Naomba kujua nani amehidinisha...
muzee ya memkwa haija-APPROVE!!!

so enjoy while it last
 
Derimto.......MJ1 is not rechabo 2011.

Hujambo lakini?


Ako poa sana babe! Hofu na mashaka ni kwako wewe tuliyepishana jana pale maeneo ya savey! Nitaendelea kukusubiri mpaka 2012 maana kama Big.ameshikilia mimi nitafanya nini sasa zaidi ya kuwa mvumilivu.
 
usitake kuniudhi,,mbona mi nimepiga ikapokelewa na mdada?!siamini kama umeniacha!

aah jamani, alikuwa anakwambia nafasi yako ipo we ukakimbilia kukata! acha woga

nifanyeje sasa, bado unaweza kuja au mi nirudi? next time nitaomba kusafiri na lil flower najua ye hawezi niyeyusha kama we
 
Ako poa sana babe! Hofu na mashaka ni kwako wewe tuliyepishana jana pale maeneo ya savey! Nitaendelea kukusubiri mpaka 2012 maana kama Big.ameshikilia mimi nitafanya nini sasa zaidi ya kuwa mvumilivu.
We Derimto wewe.....yaani unapishana na mie survey afu hupigi kelele??......una kesi ya kujibu maana unadhihirisha kuwa kweli weye ni hatibreka
 
We Derimto wewe.....yaani unapishana na mie survey afu hupigi kelele??......una kesi ya kujibu maana unadhihirisha kuwa kweli weye ni hatibreka


i just want to take this moment to wish u all the best and the blessings for 2011...
 
Habari zenyu wote kwa mpigo Heri ya Mwaka mupya.....
Nimewamiss wote jamani!! Derimto where are you heart braker?:whoo:
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!


Endelea mama hata hapa sijaona ntafanya nini wakati kupenda upofu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom