WL nakupigia simu jana tuanze safari sikupati!!!! hahaha nimejiondokea kwa unyonge.
muzee ya memkwa haija-APPROVE!!!Nimesha kua wa the finest... lol... Hii michakato mbona imenipita mimi... Naomba kujua nani amehidinisha...
vipi mama Kimey.....
maisha yanaendeleaje???
mmmhhh nime ku miss sana yaani...
heri ya mwaka mpya...
Derimto.......MJ1 is not rechabo 2011.
Hujambo lakini?
usitake kuniudhi,,mbona mi nimepiga ikapokelewa na mdada?!siamini kama umeniacha!
nilikumiss pia galfriend,,mi niko poa ujumbe wako utaupata kwa ze finest
We Derimto wewe.....yaani unapishana na mie survey afu hupigi kelele??......una kesi ya kujibu maana unadhihirisha kuwa kweli weye ni hatibrekaAko poa sana babe! Hofu na mashaka ni kwako wewe tuliyepishana jana pale maeneo ya savey! Nitaendelea kukusubiri mpaka 2012 maana kama Big.ameshikilia mimi nitafanya nini sasa zaidi ya kuwa mvumilivu.
Afrodenz aksante sana mydia, nawe pia mwaka 2011 uwe wa mafanikio , amani, upendo na furaha kwako.
Afrodenz aksante sana mydia, nawe pia mwaka 2011 uwe wa mafanikio , amani, upendo na furaha kwako.
Kamanda ...............unaingilia mamlaka yasiyo yako ujue.......... mamlaka abuising hiyo so you have been warned.muzee ya memkwa haija-APPROVE!!!
so enjoy while it last
kamanda ...............unaingilia mamlaka yasiyo yako ujue.......... Mamlaka abuising hiyo so you have been warned.
asante sana MJ1
God Bless.............
muzee ya memkwa haija-approve!!!
So enjoy while it last
mmhhh haya umeniogopesha ..hhahaahah lol
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!
Heri ya mwaka mpya Afro! nimekumiss!!