Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Overview ninayo bana....
Na niko konektedi na mzee wa MEMKWA aka Tindikali...

Aisee kondoo waliotoka Dar kwenda Arusha walirudi salama kabisa tumeona Arusha kuna potential sana kwahiyo mwezi huu naenda kufungua tawi kule
 
kaka unaniangusha mpaka leo upo kwenye fisibiliti stadi....ohooo watachakachua wenzako!!:A S-alert1:

Kwani hujui kuwa mwaka umekwisha na wale walioko nauli zao zimeishia tarehe 31.12 sasa cha kushangaa nini huu ni mwaka mpaya wewe kimey bado unakimbizana na FL wakati kuna vitu kibao vipya
 
Wewe dogo endelea tu kutuna wakunga na uzazi ungalipo utalia ohoooo kwa nza nimeghairi mdogo wangu anaenda shule Australia keshokutwa humpati tena

Shsssss!!!!! Taratibu basi watu wasisikie hivi ile cheque uliipata nilimpa PJ
 
Aisee kondoo waliotoka Dar kwenda Arusha walirudi salama kabisa tumeona Arusha kuna potential sana kwahiyo mwezi huu naenda kufungua tawi kule

Machalii wa arusha utawaweza??? Na uki :A S-smoking: kwishnei...
 
Hiyo Avatar yako imeniacha hoi??, mambo kwa kweli yalikuwa poa japo niliondoka mapema
Du..kiongozi kweli wewe upo hapa town?...Umeadimika kiongozi...!
Ngoja nimwambie Preta akupigie fasta mfikie mwafaka wa hiyo avatar!
 
Machalii wa arusha utawaweza??? Na uki :A S-smoking: kwishnei...

Aisee nilikutana na machalii wa Arusha halafu ni ma-she nikapewa gugu nijaribu walahi acha kabisa kitu kimechanganywa na brand ya Scotch halafu kikakaushwa
 
Shsssss!!!!! Taratibu basi watu wasisikie hivi ile cheque uliipata nilimpa PJ...
Nishampa...shida yake akipata Voice-of-Reason anasahausahau sana...utakuta aliiacha palepale kwa Chausiku!
 
Hivi mmesema hii safari ya Arusha itakuwa lini vile?
 
Nishampa...shida yake akipata Voice-of-Reason anasahausahau sana...utakuta aliiacha palepale kwa Chausiku!

Kumbe ndio chanzo cha malalamiko yake pia na kuniambia eti kama ndio basi nitakosa kwa vile anampeleka kusoma Australia kweli nimeamini Derimto kwa fitina ndio mwenyewe
 
Du..kiongozi kweli wewe upo hapa town?...Umeadimika kiongozi...!
Ngoja nimwambie Preta akupigie fasta mfikie mwafaka wa hiyo avatar!

Kiongozi raha zilizidi Arusha nikashindwa kuaga kwa kila mtu, lakini tulikusubiri hukutokea mahali nilipokuwa na Saharavoice, nisharudi huku napambana na winter
 
Ila viongozi waandamizi wa chama hamkuwepo. Nlishindwa kutoa risiti kuogopa ufisadi.

LOL...we si una mamlaka yote? Neno ufisadi halikuhusu wewe ujue....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…