Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 141
humjui mama wa kwanza kwani?nipm utanijua haraka sana.muulize sahara voice siku moja tu kaniona mpaka leo ananiulizia kwenye jfhe... hapa niko arusha au dar??
Hivi first lady ndio yupi?
we mbona jana nimekutafuta sana kwenye cm ukawa hupokei?inamaana hukukuta missed cal ya mama wa kwanza kwenye cm yako?angalia usije poteza bahati ati................freetown endelea kuenjoy,,,achana na huyu anayecheza pata potea
tell her, tell her!!we mbona jana nimekutafuta sana kwenye cm ukawa hupokei?inamaana hukukuta missed cal ya mama wa kwanza kwenye cm yako?angalia usije poteza bahati ati................
:A S-coffee::A S-coffee:humjui mama wa kwanza kwani?nipm utanijua haraka sana.muulize sahara voice siku moja tu kaniona mpaka leo ananiulizia kwenye jf
khe..........!we FT wakantafutie airport kwani me ndege
we mbona jana nimekutafuta sana kwenye cm ukawa hupokei?inamaana hukukuta missed cal ya mama wa kwanza kwenye cm yako?angalia usije poteza bahati ati................
Asanteni watu wangu ila Ngastuka machale ngani desa mama muuza pombe leo ametia maji ila niajeni watu wangu pande za wapi Ololo, Ngalelo, Matejo, Kijenge juu ama chini, Mbauda, Miazini ama kwa watoto wa mashavuni Njiro ata nitie timu 2jumuike pamoko?Karibu mkubwa, unatumia kinywaji gani? dadii imeisha lakini, tuna mbege ya Kibosho tu.
St. is good....missed smiles......hepi nyu yia...
Usiogope mamito hao makabaila nikiwepo hawata fanya chochote nipo kukulinda! Karibu u join the friends of JJ.
Karibu! Nafurahi kwa kuonyesha imani yangu kwako.. I will be there 4 u.Thanx....
Atleast now nina mlinzi wa ukweli....:becky:
Sio kama napenda wa kwetu.Huku mlimani siruhusiiwi kuwa richabo,hivyo nazima simu muda wote.Ila ntakutafuta hivi karibuni ikiwezekana tripu ijayo ya Atown ntaunga tela.Happy New Year...!
Uko sawa ZD?
Kwanini ukafutilia mbali No; zangu, na niki'dipu hupoke?
done sasa naomba ujibu pm yangu...:whoo:humjui mama wa kwanza kwani?nipm utanijua haraka sana.muulize sahara voice siku moja tu kaniona mpaka leo ananiulizia kwenye jf
Hapa ni hic hic tu hommie! Mbona umetoroka mlimani?Kinaendelea gani hapa?
Hapa ni hic hic tu hommie! Mbona umetoroka mlimani?
Gmorng swirry:tea:
:embarrassed::embarrassed::embarrassed:!!!!
Leo nna:A S-heart-2:na babu