Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Naomba kueleweshwa kama mkutano huu ulikuwa moja ya chachu ya maandano yaliyofanyika jana. Kama ndivyo JF imekua.
....... Duh.....asa weye wataka tuvujishe siri eh?! Jua tu JF crews walikutana Arusha few weeks kabla ya maandamano ya Chadema. Inatosha
 
hahaha!sawa mutu ya kongo,,vipodozi kwa sana,,lazma ununuliwe pamba,ulishwe,upelekwe saloon,upewe pocket money,,,mbona namuonea huruma
na nasikia hawa huwa wanafunzwa unyagoni....toka wakiwa watoto namna ya kumfurahisha, kumtosheleza na kumhudumia mwanamke..... (kama sie wanavyofanywa wazaramo na wamakonde- sasa wao wanaume ndo wanafunzwa)- mdada what more do you need in a relationship lol
 

Babe! Hebu ondoa pazia na uwashe taa kabisa uniangalie mimi kama ninachembe za kemikali yoyote ya kuongeza weupe zaidi ya haya majaliwa ya mwenyezi Mungu na ndiyo maana watu kama akina FL wakishindwa kucop. Na mazingira wanaanzisha majungu alafu si unajua kuwa muda umekwisha twende zetu samakisamaki.
 
Hey vijukuu, vitukuu, vibabu, vibaba and the rest of the crap......the st. yuko hapa.....ana salamu za kiroho....wiselady, smiles any volunteer?

Kwanza rekebisha hapo uliposema "and the rest of the crap" maana unamaanisha kwamba na sisi uliotutaja ni moja kati ya craps.....?
Me is sooooo angry at you katibu....................................
 
Kwanza rekebisha hapo uliposema "and the rest of the crap" maana unamaanisha kwamba na sisi uliotutaja ni moja kati ya craps.....?
Me is sooooo angry at you katibu....................................

Hi Smiles....neno crap halikuhusu bana......hao rest of crap waliambiwa kwamba st. uko na salamu za kiroho.....Smiles wao wakaombwa kupokea salamu ya kiroho....
A smile can never be near a crap....btw: hiyo avata....
 
Jamani...hamjamboni hapa kwa mpigo?

Smiles kwa nini unawapoke wenzio?

Wiselady twenzetu mlimani mambo naona yameiva sasa

Asprin na St RR nimewasona sana will be back shortly
 
Jamani...hamjamboni hapa kwa mpigo?

Smiles kwa nini unawapoke wenzio?

Wiselady twenzetu mlimani mambo naona yameiva sasa

Asprin na St RR nimewasona sana will be back shortly

Super dear.....!! ulikuwa wapi kwani??
mbona nakumiss hivyo......mwe!!!
 
Jamani...hamjamboni hapa kwa mpigo?

Smiles kwa nini unawapoke wenzio?

Wiselady twenzetu mlimani mambo naona yameiva sasa

Asprin na St RR nimewasona sana will be back shortly

Nakusubiri hommie.

Ila Avatar ya Smiles usiiguse tafadhali. Ni mali yangu peke yangu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…