Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Good afternoon.....

Good afternoon darling....Babu loves you and your avatar!

Uko salama? Na shem mliachana vizuri? Sipendi mkikutana mnanuniana kama mmekula membe mabichi:rain:
 
Good afternoon darling....Babu loves you and your avatar!

Uko salama? Na shem mliachana vizuri? Sipendi mkikutana mnanuniana kama mmekula membe mabichi:rain:

hahahahah.......
hujatulia wewe..... umetuona wapi tunanuniana!!!!
 
hahahahah.......
hujatulia wewe..... umetuona wapi tunanuniana!!!!
Nlitaka u-Smile nawee lol....unaweza kuibadili avatar yako unirudishie ile ya zamani? Bado nna mapenzi nayo. Please do it for me tafadhali. Will you?

Tatizo babu ana wivu mno.......
Bila wivu utajuaje kama nakupenda?
 
Nlitaka u-Smile nawee lol....unaweza kuibadili avatar yako unirudishie ile ya zamani? Bado nna mapenzi nayo. Please do it for me tafadhali. Will you?

Bila wivu utajuaje kama nakupenda?

hapo kwenye red ndio pa muhimu zaidi.....
achana na ile avatar....hujui kuna watu walitaka kuimiliki sasa mi nikaamua kulinda maslahi yako.....
hahahahah!!!!
 
hapo kwenye red ndio pa muhimu zaidi.....
achana na ile avatar....hujui kuna watu walitaka kuimiliki sasa mi nikaamua kulinda maslahi yako.....
hahahahah!!!!

Usipoirudisha sitacheza na wewe........!
 
Nakusubiri hommie.

Ila Avatar ya Smiles usiiguse tafadhali. Ni mali yangu peke yangu.


Orait...noted noted! maadam ni avatar tu, hakuna shida, mi nitabaki na smiles na SMILE mwenyewe hommie apo vipi?
 
ooh finally u r not posting via mobile

Miss u too mamushkaz...haaa....nipo ambaye niko!
Jamani wewe mbaya......
finally u are here.....usipotee kihvyo basi! sawa eeh!!

Orait...noted noted! maadam ni avatar tu, hakuna shida, mi nitabaki na smiles na SMILE mwenyewe hommie apo vipi?
Hii inahusu sana.......
 
Jamani wewe mbaya......
finally u are here.....usipotee kihvyo basi! sawa eeh!!

Hii inahusu sana.......


LOVE that...seriously we need to πŸ˜›hone:πŸ˜›hone:πŸ˜›hone:ASAP...
 
Usijesema sijakuonya.....maslahi ya babu yanaweza kugharimu uhai wa chochote kilicho mbele yake. Hata wanaojiita watakatifu feki.

????????????????????????????
 
Naona Kimey hayupo kunilindia, mmeamua kunichakachulia smiles wangu.

Orait, ngoja nijipange........St.RR, wewe ni mtu safi, una-care na kushare at the same time.........Kabaila, unataka kumchakachua mchakachuaji?
Kaizer.........Habari yake ya kwenda polepole bila kuacha traces........
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…