Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Haukuwa looser ila ni kwamba Maty alikustukia ulipotaka kumpeleka Hotelini ukaweka mikono kichwani ukawasha gari ukatokomea
Mwakata Baba!

Saharavoice itabidi tukirudi Arusha uandae mpango endelevu kwa ajili ya Maty
 
Derimto mie nipo ati....!ila hiyo rangi bado sijabadili maamuzi

Jamani wewe mbona unanihatarishia usalama hivi na kujinga kote kwako usiku ule bado unashikilia msimamo wa kinyerere na siasa za ujamaa unaniharibia hivyo si unaona mj1 alivyokaa kimya sasa
 
we derimto mbona unasema usiyokuwa na hakika nayo?we huioni rangi ya saharavoice ilivyodifa na yako?ila PJ ndo anarangi nzuri tatizo ni mweusi mpaka haonekani

Acha majungu wewe mtoto vibaya hivyo umesamwanza na pj. Mbona akicheka anaonekana meno yake na macho pia
Kwani wewe unataka umwone wapi zaidi?
 
we derimto mbona unasema usiyokuwa na hakika nayo?we huioni rangi ya saharavoice ilivyodifa na yako?ila PJ ndo anarangi nzuri tatizo ni mweusi mpaka haonekani

Mwelezee, hajui wale jamaa wakiisha wanahamia kwake
 
quote_icon.png
Originally Posted by derimto
acha majungu wewe mtoto vibaya hivyo umesamwanza na pj. Mbona akicheka anaonekana meno yake na macho pia
kwani wewe unataka umwone wapi zaidi?

na ukisababisha nikapewa bun nakufuata arusha kupunguza majonzi kipindi chote cha bun.sijui utamwambia nini mamsap
 
katokomea na no. Za cm. Ana mpango wa kwenda kuanzisha saccos kyela

au ndio anaanza kudela na gender kwanza personally ndio maana mimi nilichukua namba juu kwa juu maana niliishaona mwenyekiti anajaribu kuweka maslahi yake kwanza
 
quote_icon.png
Originally Posted by derimto
acha majungu wewe mtoto vibaya hivyo umesamwanza na pj. Mbona akicheka anaonekana meno yake na macho pia
kwani wewe unataka umwone wapi zaidi?

na ukisababisha nikapewa bun nakufuata arusha kupunguza majonzi kipindi chote cha bun.sijui utamwambia nini mamsap

Wasiwasi wangu utahamia full maana c unajua hili jumba lina mambo mengi sana mwenyewe ulisha vipimo vyako ila unanibania rate za maukweli ukipigwa ban ntafuata kuja kukuchukua mwenyewe tutanzia zanzibar then tutamalizia ngorongoro shimoni kuna mahotela ya maukweli
 
au ndio anaanza kudela na gender kwanza personally ndio maana mimi nilichukua namba juu kwa juu maana niliishaona mwenyekiti anajaribu kuweka maslahi yake kwanza

Halafu mi nalaumiwa, bora na wewe uliliona hilo la juu kwa juu. Vipi Teomo kaishia wapi?
 
au ndio anaanza kudela na gender kwanza personally ndio maana mimi nilichukua namba juu kwa juu maana niliishaona mwenyekiti anajaribu kuweka maslahi yake kwanza

Umeona eee!! Na ndiyo maana ulichukua yangu mapema bila kunipa yako.
e bwana nitafuttie kimey na Teamo mj1 nawamic kinomi nomi.
 
Halafu mi nalaumiwa, bora na wewe uliliona hilo la juu kwa juu. Vipi Teomo kaishia wapi?
Eti anaumwa na kiuno tangu arudi safari.me sijaelewa hicho kiuno chake imekuwaje maana wote tulikuwa safari na viuno vyetu havina tabu kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom