Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Bado najaribu kuzinduka kutoka kwenye HANGOVER ya weekend hii... Hali ni mbaya... HAPPY NEW YEAR kwa wote...
 
mmmmhhhh
in 2011 i decide not to shear every thing lol
i will shear most of things but not every thing...

HAPPY NEW YEAR...

Hapo kwenye red mama, babu yuko off topic kabisaaaaaa!
 
Bado najaribu kuzinduka kutoka kwenye HANGOVER ya weekend hii... Hali ni mbaya... HAPPY NEW YEAR kwa wote...

Ulikuiwa wapi chalii wangu hadi sa hv haujazinduka?
 
mmmmhhh babu kwanza happy new year...

Pili bado hujaniambia ur wish for 2011... lol

Same to you darling. Nimekumisi vibaya. Unajua nilipotea nikapoteza mpaka pasiwedi ya JF.

Hivi mara ya mwisho nlikukagua lini? Usijepata matiti phobia tafazali.
 
Enyi watwana ninaombeni muisome kwa nguvu ili nami niisikie inavyotamkwa........pronaunsiasheni yake imekuwa ngumu sana kwangu ....nahitaji kuigilizia

Hahahah.... Dada hiyo ni matamshi ya babu!! Si unajua haoni vizuri....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom