Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Wiselady hebu acha kuchungulia dirishani hapo chini sio mchezo mzuri hebu ingina ndani
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!

OMG! Mawani yangu iko wapi?

Ngoja babu arudi kitandani!
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!

Mjukuu kwa kumbukumbu sikuwezi ila pale na mimi nilijiuliza maswali mengi kuwa ile 2500 ni pamoja VAT au sijui ni made in wapi?? halafu na zile panadol sijui ni kwa ajili ya kuepusha yale mambo kama ya Rombo Green View
 
Mjukuu kwa kumbukumbu sikuwezi ila pale na mimi nilijiuliza maswali mengi kuwa ile 2500 ni pamoja VAT au sijui ni made in wapi?? halafu na zile panadol sijui ni kwa ajili ya kuepusha yale mambo kama ya Rombo Green View

Hivi we nlikupa kazi gani?
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!

Pole sana ila hayo nidyo maisha bora kwa kila mtanzania... Labda ilikua imported from Europe ama USA na siyo brand ya CHINA...
 
Hivi we nlikupa kazi gani?

Babu ulinzi shirikishi mbona ulifanikiwa vizuri tu usipate presha za bure maana ulinzi shirikishi uliwanyima watu wengine nafasi hadi nikaanza kulaumiwa
 
Babu ulinzi shirikishi mbona ulifanikiwa vizuri tu usipate presha za bure maana ulinzi shirikishi uliwanyima watu wengine nafasi hadi nikaanza kulaumiwa

Punguza ushirikishi. Utaanza kubaguliwa kwenye kuhamishana meza kwenye kutaka nyonyo za ten sauzend!
 
Kwa yale nliyoyaona katika safari hi, nimegundua ndugu zetu wa kipande hiki wanaishi maisha magumu sana maana kila kitu ni ekisipensive, Kaizer, Roya na Nguli mliuokuwa Moshi nijuzeni mnawezajee kuishi katika mji kama huu...........ninajiuliza maswali mawili makuu
1. Inakuwaje Condom moja inauzwa 2500, mnamuduje?
2. Kwa nini condom hizo zauzwa pamoja na panadol? ile menu pale restraurant mh!!

Dah....
Hapa sidhani kama nimesoma fresh!!
Inabidi niazime miwani ya babu....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom