MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Hapo nilivuviwa nikanena kwa lugha.Manenei, Manenei..........aaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nilivuviwa nikanena kwa lugha.Manenei, Manenei..........aaah
Hapo nilivuviwa nikanena kwa lugha.
beibe, i luv ya.....kila nikikukumbuka natabasamu mwenyewe......hakuna kinachonipa furaha zaidi yako...ofcoz ukimuondoa bibi.
Umeonaeeee?? Na hapo wezamaliza mwaka usisikie kaurudia huo mstari.... ni mipya kwa kwenda mbele.....sijui ana kamusi ya mapenzi kichwaniDah! Nimeamini alichosema MJ1.......
Mpendwa.....tukivuviwa hadi tutafsiriwe na nabii......namsubiria anitafsirie lakini inahusiana na mambo ya mupenji wangu, mupenji wangu kisha hiyo ahaaaa ni kuhug huku unapiga piga mgongoni. (Mwanangu mpenzi ndo huisema hii kila akiniona .... Manenei, manenei..... ahaaa- kinanihug)hahaha!hongera kwa kunena,,naomba tafsiri yake
Umeonaeeee?? Na hapo wezamaliza mwaka usisikie kaurudia huo mstari.... ni mipya kwa kwenda mbele.....sijui ana kamusi ya mapenzi kichwani
Huyu atakuwa alianza tangu utoto.....
Ha ha ha ha ha...ngoja nicheke kwa pozi kwanza.Sasa hapo umeshakubali kwa bigi au???? Naona hatibreka anafunga bao la kisigino...
Mpendwa.....tukivuviwa hadi tutafsiriwe na nabii......namsubiria anitafsirie lakini inahusiana na mambo ya mupenji wangu, mupenji wangu kisha hiyo ahaaaa ni kuhug huku unapiga piga mgongoni. (Mwanangu mpenzi ndo huisema hii kila akiniona .... Manenei, manenei..... ahaaa- kinanihug)
Sasa hapo umeshakubali kwa bigi au???? Naona hatibreka anafunga bao la kisigino...
.....Aah natafuta kale kakatuni kanachoonesha 'no no no no!!!'
Umekiona wapi eti...?!!!
Hahahahah aksante Mamito ... ila ni ka-he kidoooogo kamefanana na babake.Nimependa hapo mwisho,,naimagine vile unajiskia!lazma awe mrembo kama mum wake
.............Babu hapa lazima kuna maslahi yako hapa.......haiwezekani ushabikie Bigi kupewa soli ya kiatu hapaAfadhali bana...haka hapa...:nono:......changanya na hitu twingine :lying: :lie:
.............Babu hapa lazima kuna maslahi yako hapa.......haiwezekani ushabikie Bigi kupewa soli ya kiatu hapa
.............Babu hapa lazima kuna maslahi yako hapa.......haiwezekani ushabikie Bigi kupewa soli ya kiatu hapa
Mpendwa.....tukivuviwa hadi tutafsiriwe na nabii......namsubiria anitafsirie lakini inahusiana na mambo ya mupenji wangu, mupenji wangu kisha hiyo ahaaaa ni kuhug huku unapiga piga mgongoni. (Mwanangu mpenzi ndo huisema hii kila akiniona .... Manenei, manenei..... ahaaa- kinanihug)
Birds of the same feathers.....