Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Caring in practise.......analinda mali zake kwa vitendo lol......nimecheka kwa nguvu hadi mkolonikanishangaa.

Aisee yuko vere vere protection yake naona ni ile ya MAN to MAN halafu amekaa in between wewe na Bigirita lol!!!!!!!
 
Yupo ila naona mwaka mpya ameunza vizuri sana zile ishu zake za mwaka jana za kushinda OVYO OVYO GUEST HOUSE ameacha yuko anawafundisha wananchi wa usalule KILIMO KWANZA na utunzaji wa mashamba ya mboga

wakati yuko huko huwezi nifanyia namna nichakachue???weka unoko pembeni
 
swithat biashara matangazo,,baada ya kunitelekeza nimeamua kuingia sokoni rasmi


NGOJA NIKAWAOMBE AI AUTODOOR BANGO MOJA PALE KARIBIA NA PETROL STATION YA GAPCO KWA AJILI YA MATANGAZO YA HII PICHA
 
Sijawahi ona mtu anayelinda mali zake 24/7 kama Derimto halafu haongei chochote he's just observing
 
Aisee nasikia umeanzisha somo la SHAMBA DARASA
Yaani 2011 nipo kikazi zaidi wananchi wananifurahia shamba darasa linaeleweka. Hommie nilindie huyo Wise the lady..si unajua nipo kijijini namtaftia bana.
 
Babu The Finest karibu ..........afadhali yako weye unaonyesha caring kwa vitendo duh....hadi Arusha??

Kama mimi nilivyokufuata Dar ingawwa umekuwa adimu kama jasho la kuku nakujali wewe halafu wala hauniumizi kichwa nimekuletea tucket yako uondoke nchini ukapumzike kidogo bahamas nitafuata baada ya mapambano nataka kurudi arusha niende mstari wa mbele haiwezekani masela,madafanga na machalii wafe nishindwe kuwa nao sambamba
 
Hahahahha afu mbona wote Smiles na Bigi mnapost via mobile?? hampo sehemu moja kweli?? hahahahahahahahha

Jamani kwa herini ngoja nikamtulikie mkoloni kwa uadilifu
Sitaki kutumia nguvu nyingi kufanya kazi rahisi!!


The Following User Says Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 


NGOJA NIKAWAOMBE AI AUTODOOR BANGO MOJA PALE KARIBIA NA PETROL STATION YA GAPCO KWA AJILI YA MATANGAZO YA HII PICHA

hahaha!kwani wewe ni mkaguzi au ni marketer?basi tangazia humu humu obuntu apewe kipaumbele
 
Yaani 2011 nipo kikazi zaidi wananchi wananifurahia shamba darasa linaeleweka. Hommie nilindie huyo Wise the lady..si unajua nipo kijijini namtaftia bana.

Aisee huyo Wise the lady nimeweka vigingi kila sehemu na road bumps kibao
 
Kama mimi nilivyokufuata Dar ingawwa umekuwa adimu kama jasho la kuku nakujali wewe halafu wala hauniumizi kichwa nimekuletea tucket yako uondoke nchini ukapumzike kidogo bahamas nitafuata baada ya mapambano nataka kurudi arusha niende mstari wa mbele haiwezekani masela,madafanga na machalii wafe nishindwe kuwa nao sambamba
Lol ............sema neno moja tu.........roho yangu ifurahi
 
Kama mimi nilivyokufuata Dar ingawwa umekuwa adimu kama jasho la kuku nakujali wewe halafu wala hauniumizi kichwa nimekuletea tucket yako uondoke nchini ukapumzike kidogo bahamas nitafuata baada ya mapambano nataka kurudi arusha niende mstari wa mbele haiwezekani masela,madafanga na machalii wafe nishindwe kuwa nao sambamba

Posted via Mobile

Derimto hii uko guest gani hatutaki mambo ya Rombo Green View
 
Caring in practise.......analinda mali zake kwa vitendo lol......nimecheka kwa nguvu hadi mkolonikanishangaa.

Mama mupe maneno nayoko mbianga maneno muzuri mupewa na papa DEHRII MUTOKA MBALI pata mayi sherry niko kumujini na mambo ya vibransio nakuja mulimani kuangalia uso yakoo bora
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom