Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Sitaki kutumia nguvu nyingi kufanya kazi rahisi!!


The Following User Says Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:

Bigirita (Today)​

Biggy Derimto naye si anapswa kuleta chupa za Grants mbili zile za lita moja maana naona anataka kuja kwa mjukuu straight bila kuona watu wa kumpa direction
 
Out beyond ideas of wrongdoing and rightdoing, there is a field. I will meet you there.

Chalii umepotea kama avatar ya Max ya zamani. Niaje.......Nasikia Atown kila mtu anatoka machozi tu jana na leo

Mimi niko FULU kabisa... Huku machozi ndiyo yana pungua saa hii.... Mambo ni magumu mno huku leo...
 
Mimi niko FULU kabisa... Huku machozi ndiyo yana pungua saa hii.... Mambo ni magumu mno huku leo...

Mbona sikukuona jana nilipokuja kuwajulia hali au ulikuwa umepelekwa polisi na wewe
 
Mama mupe maneno nayoko mbianga maneno muzuri mupewa na papa DEHRII MUTOKA MBALI pata mayi sherry niko kumujini na mambo ya vibransio nakuja mulimani kuangalia uso yakoo bora


.........Lol kumbe Derimto ni mutu ya Congo......hii mitu ya Congo nasifika sana bana.......wapi Mama ya Kwanza animwagie sifa za mutu ya Congo??

Au Bigirita na The Finest nikumbusheni hapa mama ya kwanza alitusimulia wakati tunakwenda Ar......Mimi nimeshazeeka na hii menopozi ya ubongo nasahau haraka ati
 
.........Lol kumbe Derimto ni mutu ya Congo......hii mitu ya Congo nasifika sana bana.......wapi Mama ya Kwanza animwagie sifa za mutu ya Congo??

Au Bigirita na The Finest nikumbusheni hapa mama ya kwanza alitusimulia wakati tunakwenda Ar......Mimi nimeshazeeka na hii menopozi ya ubongo nasahau haraka ati


Una bahati umepata foreigner lkn jiandae kumnunulia vipodozi,,n.k,n.k
 
.........Lol kumbe Derimto ni mutu ya Congo......hii mitu ya Congo nasifika sana bana.......wapi Mama ya Kwanza animwagie sifa za mutu ya Congo??

Au Bigirita na The Finest nikumbusheni hapa mama ya kwanza alitusimulia wakati tunakwenda Ar......Mimi nimeshazeeka na hii menopozi ya ubongo nasahau haraka ati

Ha ha ha ha ha ha sijui ni re-save my comments maana nakumbuka mama wa kwanza alisema kuwa mutu ya kongo nakata sana mauno
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom