Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Naona Kimey hayupo kunilindia, mmeamua kunichakachulia smiles wangu.

Orait, ngoja nijipange........St.RR, wewe ni mtu safi, una-care na kushare at the same time.........Kabaila, unataka kumchakachua mchakachuaji?
Kaizer.........Habari yake ya kwenda polepole bila kuacha traces........

Hawa yu hatbreka??
 
Good afternoon darling....Babu loves you and your avatar!

Uko salama? Na shem mliachana vizuri? Sipendi mkikutana mnanuniana kama mmekula membe mabichi:rain:
Watu mna nahau JF sijapata kuona..........
 
Smiles how come umeanguka katika mikono ya makabaila! Mi naona is nijichukulia my My Smiles kabsaa! Where r u Smiles let's go and keep the flame burning achana na makabaila hao!
 
Smiles how come umeanguka katika mikono ya makabaila! Mi naona is nijichukulia my My Smiles kabsaa! Where r u Smiles let's go and keep the flame burning achana na makabaila hao!

Right behind u....
all the way!
 
Smiles....I am calling you....'how deep is your love' babe?
 
smiles sweetheart... naomba urudishe ile avatar ya zamani... i like dem black and beauty

hahahahah...........
kwa kuwa ni wewe nairudisha sasa hivi yaani....
Nimekumiss lakini....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom