Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

pamoja sana mkuu....watu wa Tanga mnatishaaaaa....kweli nimeamini kaskazi kaskazi tu....sio kama wale majamaa zetu wa pale kati....

Sana tu Preta, tukiamua tunaweza......, ila Chuga nouuumaaaaa sana. Nitammiss sana mamaa Prado
 
Last edited by a moderator:
Waaoh!
Mkubwa sana Mwanyasi.
Mimi nilipokuwa natazama avatar yako nilikuwa nahisi mkuu huongeagi na watu!
Bt kila kitu kimekuja kuprove very wrong baada ya kuonana.

Mkuu unastahili kila sifa ya kugombea Ukatibu wa kundi la Tanga-Wing, japokuwa KOKUTONA ameahidi kuwa yuko tayari kuyanywa maji ya kule Pangani ili asafishe nyota na kuitwaa nafasi hiyo ya ukatibu...lol!
Mkuu pokea sifa kemkem, na ili kukuonyesha shukran wana -ArushaWing wameamua kwa kauli moja kukupa ofa ya One Night Stand na sweetlady pale Seaside Community Centre, kwa Sister MariaSalome!
Bili zote ziwe directed kwa account yetu iliyopo Meridian Biao Bank.

Ha ha ha PakaJimmy bana, usione ukadhani.....!
Avatar isikutishe, mie napenda dana movies, huyu jamaa yupo smart sana, kama alivyo Preta (avatar - kucheza)
Ukatibu......... time will tell, KOKUTONA hakuwa na haja ya kunywa yale maji kwa ajili hiyo maana anafaa kabisa.
Mie labuda kutunza mabo ya fwedha.
Huyu sweetlady tena nina hamu nae sana, mimi simuogopi Mungi kama nitonye.
 
Last edited by a moderator:
asanteni sana kwa mapokezi mazuri karibuni sana chuga kwa day trip anapa lol naona kamsisitizo wa maneni kwenye jina ka Smile

Ha ha ha umeona eeh!
Si unajua tumebaki nae Tanga, yupo hapa yeye ndio kaniambia niweke hivo na kuniambia nisipofanya hivo anaondoka!
 
ukiona hivyo jua kashtukia dili

hata hivyo unafikiri mimi nina wasi wasi basi, Akhaaaaaaa..............!!!!!!!!!!!
Akinimwaga wachumba kibao wako mlangoni wananisubiri, ye muache alete Ashuo lake la panya, kujipitisha Mbele ya Mgeni.
 
It was great real. Enjoyable and fantastic. Msafiri salama bandugu,hope to see you again. MUNGU AKAWE DEREVA WA USAFIRI MTAKAOTUMIA. Wana JF wengine karibuni Tanga.
Tanga raha bana.....!
 
unashtuka umeona nini? Embu lala umalizie usingizi!

he he....mi nakuhurumia wewe uliyekesha kwenye taarab....hivi ulialikwa au ni yale mambo yako ya kambi ya fisi kuzamia sherehe za watu....
 
Waaoh!
Mkubwa sana Mwanyasi.
Mimi nilipokuwa natazama avatar yako nilikuwa nahisi mkuu huongeagi na watu!
Bt kila kitu kimekuja kuprove very wrong baada ya kuonana.

Mkuu unastahili kila sifa ya kugombea Ukatibu wa kundi la Tanga-Wing, japokuwa KOKUTONA ameahidi kuwa yuko tayari kuyanywa maji ya kule Pangani ili asafishe nyota na kuitwaa nafasi hiyo ya ukatibu...lol!
Mkuu pokea sifa kemkem, na ili kukuonyesha shukran wana -ArushaWing wameamua kwa kauli moja kukupa ofa ya One Night Stand na sweetlady pale Seaside Community Centre, kwa Sister MariaSalome!
Bili zote ziwe directed kwa account yetu iliyopo Meridian Biao Bank.

hahahaha PJ ikizingatia amepigwa kibuti na nitonye naweks oda mpema kwa sista ya chips maharage
 
Last edited by a moderator:
Usimsahau dereva wa......! (usimalizie)
Dereva wa naniliu anatisha jamani...
Mkuu mi nakushauri umtafutie kazi hadi yule dereva wa jana Amboni-Pangani, maana alinisaidia sana kumnyamazisha Madame B.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom