Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he he....mi nakuhurumia wewe uliyekesha kwenye taarab....hivi ulialikwa au ni yale mambo yako ya kambi ya fisi kuzamia sherehe za watu....
Ha ha ha Chipsi maharage yenye nazi na iliki.......
Tutalala pale baech
Dereva wa naniliu anatisha jamani...
Mkuu mi nakushauri umtafutie kazi hadi yule dereva wa jana Amboni-Pangani, maana alinisaidia sana kumnyamazisha Madame B.
he he....mi nakuhurumia wewe uliyekesha kwenye taarab....hivi ulialikwa au ni yale mambo yako ya kambi ya fisi kuzamia sherehe za watu....
Hajalala tu kwenye hiyo lakishare, maana ile lakiSHARI tulioenda nayo pangani aliala sana
he he....mi nakuhurumia wewe uliyekesha kwenye taarab....hivi ulialikwa au ni yale mambo yako ya kambi ya fisi kuzamia sherehe za watu....
Dereva wa naniliu anatisha jamani...
Mkuu mi nakushauri umtafutie kazi hadi yule dereva wa jana Amboni-Pangani, maana alinisaidia sana kumnyamazisha Madame B.
twashukuru sana kwa uwepo wenu bila nyie pangechimbika lol was nice
Hajalala tu kwenye hiyo lakishare, maana ile lakiSHARI tulioenda nayo pangani aliala sana
thx a lot our super guide....umesababisha mno...shukrani za dhati sana kwako....
Dereva anakuhadithia sana wewe, hivi ulimfanyaje?