Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Hii yenye red imetulia kweli, au sijaielewa?
Pole sana babu pumzika salama


Pole mkuu Mwanyasi kama umepigwa chenga....

Makamba sen. aliwahi kumweleza Mkapa kuwa,.. kule kwao usambaani wana msemo kwamba, ..ukifuga mbwa basi wewe mwenyewe hutakiwi kubweka kwa kuwa mbwa wako wanabweka.. Ila mbwa wakishindwa kubweka, basi wewe mwenye mbwa ndo unajitosa kubweka.

Sasa mie mmenitoa kimasomaso kiasi kwamba sikuwa na haja yoyote ya kubweka.....

Mmefanya kazi nzuri sana na Mungu awabariki,

Cc.. KOKUTONA, Arabela.....na wa wadau wengine wote!!
 
Last edited by a moderator:
Safari njema, wa dar tutawapokea airport ya ubungo bus terminal.
Ha ha haa!
We wa Dom umehamia lini Dar?
Watu wa Dar ukiwaambia:
"Nipo Ubungo-Maji ndo nafika stendi", watakujibu:
"Aisee, mi ndo nipo hapa Zakhiem nafika Dar-Live mara moja."!
 
Ha ha haa!
We wa Dom umehamia lini Dar?
Watu wa Dar ukiwaambia:
"Nipo Ubungo-Maji ndo nafika stendi", watakujibu:
"Aisee, mi ndo nipo hapa Zakhiem nafika Dar-Live mara moja."!

hahahaha! Mi nimekuja daslam mara moja kuwapokea hao watu wa tanga labda naweza ambulia unyunyu wa TA.
 
Hivi Arabela nimeshakushukuru?
Mi nilikuwa nawangoja wenye papara zao waseme weee! maana maneno yao had kwenye kanga yapo.

Sasa ngoja mi nikushukuru mwaya, U were the best of the best!
Hebu nikumbushe tena namba yako kwenye Miss CC nikuongezee kura.

Pj ilikuwa bado hujanishukuru ila ahsante kwa kunikumbuka. Unajua kucare mwenyewe nakupa big up ulipombembeleza madame B
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haa!
We wa Dom umehamia lini Dar?
Watu wa Dar ukiwaambia:
"Nipo Ubungo-Maji ndo nafika stendi", watakujibu:
"Aisee, mi ndo nipo hapa Zakhiem nafika Dar-Live mara moja."!

hapo umemaliza!
 
Nimekuchukulia Machungwa! Uje unipokee Kisongo!


Nani alikwambia wewe Filipo kwamba kiroba cha machungwa ni romantic kwa wadada wa dot com??


Umebugi step meeeeeeeeeeeeen!!

Siku nyingine omba ushauri...sawa dogo wangu wa ukweli??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Pj ilikuwa bado hujanishukuru ila ahsante kwa kunikumbuka. Unajua kucare mwenyewe nakupa big up ulipombembeleza madame B
Asante kwa kushkuru Mwaya.
Ile ndio profeshno inayoniweka mjini mwenziyo.
 
Nani alikwambia wewe Filipo kwamba kiroba cha machungwa ni romantic kwa wadada wa dot com??
Umebugi step meeeeeeeeeeeeen!!
Siku nyingine omba ushauri...sawa dogo wangu wa ukweli??

Babu DC!!
Hajui kuwa Dot com wanataka Ipad na Vitz au Funcargo!
 
Last edited by a moderator:
Ondoa wasiwasi kabisa! Mimi nitampokea na akakuwa "salama" Mkuu! Nilishamuhakikishia hilo na wewe shaka ondoa. Mtoto mzuri namna ile sio tu unampa ulinzi bali unahakikisha habanduki ubavuni!

COPY: marejesho.
 
Last edited by a moderator:
Nani alikwambia wewe Filipo kwamba kiroba cha machungwa ni romantic kwa wadada wa dot com??


Umebugi step meeeeeeeeeeeeen!!

Siku nyingine omba ushauri...sawa dogo wangu wa ukweli??

Babu DC!!

umesomeka Babu DC! Nitaufanyia kazi ushauri!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mnamwonaje Blaki Womani, a.k.a MKEMIA MKUU [chanzo: Preta], kwa jinsi alivyokuwa makini kudhibiti bili aka invoices?

Aliniacha hoi alipogundua mara mbili mbinu za Ufisadi pale Nyinda na kule Seaside! Community Centre kwa Sister Maria-Salome?
Tumpe zawadi gani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom