Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wewe subiri utaona....

Mwenyekiti.. Mwanyasi..

Katibu...Mama wa nguvu KOKUTONA..

Mtunza mafweza....toto la haja.. Arabela (hapa mjifanye kama vile aliyeyasema siyo Babu)!!

Timu nzima ikiwa na akina YNNAH na wengine..

Washauri....Babu DC na wale wangine ambao nimeamua kuwaweka kapuni kwa sasa!!

Mtasoma namba nyie wa A - wing...lol!!


Babu DC!!

hahaha Babu Ta wing iko poa
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha PakaJimmy bana, usione ukadhani.....!
Avatar isikutishe, mie napenda dana movies, huyu jamaa yupo smart sana, kama alivyo Preta (avatar - kucheza)
Ukatibu......... time will tell, KOKUTONA hakuwa na haja ya kunywa yale maji kwa ajili hiyo maana anafaa kabisa.
Mie labuda kutunza mabo ya fwedha.
Huyu sweetlady tena nina hamu nae sana, mimi simuogopi Mungi kama nitonye.

Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mwanyasi koma na maneno yako! tena afadhali ya nitonye tena we unaonekana mwoga zaidi.

wanaJF tunawapenda karibuni nyumbani, safari yenu bila shaka ni njema sana
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom