Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
ohooo!!!
usihofu Mkuu! Wife anataarifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooo!!!
sawa hakuna tatizo nimeupokea mwaliko Filipo
Wewe subiri utaona....
Mwenyekiti.. Mwanyasi..
Katibu...Mama wa nguvu KOKUTONA..
Mtunza mafweza....toto la haja.. Arabela (hapa mjifanye kama vile aliyeyasema siyo Babu)!!
Timu nzima ikiwa na akina YNNAH na wengine..
Washauri....Babu DC na wale wangine ambao nimeamua kuwaweka kapuni kwa sasa!!
Mtasoma namba nyie wa A - wing...lol!!
Babu DC!!
Kumbe kile kimya chako ulikuwa unatunga sheria ya kukuweka kati wale vijana!
Kweli maji ya ukuli nouuuma
hahaha Babu Ta wing iko poa
Babu funguka
Kuna nini hapo?
Ha ha ha PakaJimmy bana, usione ukadhani.....!
Avatar isikutishe, mie napenda dana movies, huyu jamaa yupo smart sana, kama alivyo Preta (avatar - kucheza)
Ukatibu......... time will tell, KOKUTONA hakuwa na haja ya kunywa yale maji kwa ajili hiyo maana anafaa kabisa.
Mie labuda kutunza mabo ya fwedha.
Huyu sweetlady tena nina hamu nae sana, mimi simuogopi Mungi kama nitonye.
Ulihama lini ngarenaro PakaJimmy?Naomba niwajulishe kuwa sote tupo majumbani muda huu.
Filipo yuko kwake Ikiding'a.
marejesho kwake Engosheratoni
Preta kama kawa Matevez Blaki Womani Mirongoine.
werawera City centre.
Lily Flower Njiro kwa Msola
Arushaone Moshono.
P.J Jirani na TRA -Arusha.