GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni 'Mbabe' ambaye Kiukweli alinipa Jukumu la Kutunza Nyumba yake nzuri ila Mimi kwa tamaa zangu ( japo ni Mchapakazi mzuri tu ) nikawa nachukua Magari yake ya 'Kifahari' na Kutamba nayo Mitaani nikijifanya yangu na Wambea wakamfikishia taarifa. Kuna Mtu kaniambia niende 'Kuhiji' Mji wa Kahama ambapo pia una 'Waganga' wazuri ambao wataweza Kumbadilisha Akili 'Mbabe' na hatimaye atanisamehe tu japo inasemekana 'Kusamehe' Kwake huwa kunategemeana na vile alivyoamka Siku husika.
Hata Mimi nina imani kuwa japo nimekuwa nikiyaendesha haya Magari yake ya Kifahari yaliyopo hapa Nyumbani Kwake ila kwa Utendaji wangu wa Kazi wa 'Kutukuka' kabisa hapa Kwake hasa wa Kufanya Usafi, Kufyeka Nyasi, kukatia vyema Maua, Kulisha vizuri Chakula Mbwa wake, Kuipendezesha na Kubuni mambo mazuri ya hii Nyumba basi nikishirikiana na Wafanyakazi wengine basi nae Bosi 'Mbabe' ataingiwa na 'Huruma' na Kunisamehe.
Hata Mimi nina imani kuwa japo nimekuwa nikiyaendesha haya Magari yake ya Kifahari yaliyopo hapa Nyumbani Kwake ila kwa Utendaji wangu wa Kazi wa 'Kutukuka' kabisa hapa Kwake hasa wa Kufanya Usafi, Kufyeka Nyasi, kukatia vyema Maua, Kulisha vizuri Chakula Mbwa wake, Kuipendezesha na Kubuni mambo mazuri ya hii Nyumba basi nikishirikiana na Wafanyakazi wengine basi nae Bosi 'Mbabe' ataingiwa na 'Huruma' na Kunisamehe.