Uchaguzi 2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

Uchaguzi 2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

Binafsi siwezi kumchagua halima maana hakuna alichokifanya
Namchagua Gwajima mm
Embu nitajie kazi tatu tu za mbunge akiwa bungeni ambazo halima mdee hajazifanya.
Kisha nitajie kazi tatu tu za mbunge akiwa bungeni ambazo kibajaji, January makamba na mwigulu wanafanya wakiwa bungeni afu ndo ulete porojo zako za Newala huko mnakokunywa maji ya rope miaka 50 baada ya kinachoitwa uhuru
 
Mkuu hilo limekaa sawasawa kabisa.

Hata kipofu anajua Halima kachemsha big time.
Ukweli ni kwamba vijana walimbeba kama kwenye mdundiko wa wengi.
Ngoma ikiisha ndo wanatambua walichagua garasha.

Halima kiukweli hawezi kitu, maana hana ushawishi kimaendeleo popote pale.
 
Rubbish rubbish rubbish!
Kawe hakuna atakayemchagua Gwajiboy! Itakuwa aibu kufanya hivyo!
CCM imetawala miaka 58 na bado tunahangaika na vumbi na maji na uchafu wote Dar! Imetosha! Halima ni mtetezi wa watu na wanawake!
 
Kokoto na Gwajima chagua kokoto! la sivyo wote tutaonekana tuko saizi yake!
Uwongo wote anaofanya huko kanisani kwake?? Mara nitaleta ndege mara meli mara kanisa!!
Kawe siyo wajinga!
Kama serikali haitaki kituletea huduma badi tukatae kulipa kodi kama Kawe lakini tusimlaumu Halima!
 
Hatutaki upuuzi Tena kama Halima
Tunatuma shimoni Sasa hivi
Tunataka Watu wanaleta maendeleo sio kelele
 
Mwanaume unamjadili mwanamke??kweli chips za Dar zinaleta ulemavu wa akili.eti uko Mtwara,muongo wewe
 
Ujanja ni kuandika kwa kifupi, la sivyo unapoteza muda na watu hawana muda wa kusoma mada ndefu kiasi hicho.
 
Juma juma & company!

Sawa makondoo tumewasikia!
Tumeinamisha vichwa tunaelekea machinjioni.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Kwani unamuonaye yan pande la mtu mtu ambaye kuleta maendeleo n rahisi kwake kama unavyomjua Gwajima lazima ataongea kwa nguvu zake zote bila kujali sura ya mtu
Kanisa kaliongelea Kwa nguvu limemshinda itakuwa Jimbo hapo mnaongeza wapiga meza mjengoni tu
 
Naona huna nia njema na waislamu wa kawe, yahani unawalazimisha kula kitimoto?? Astagafulhai!!!!!!......... Hebu heshimu imani za wenzio bwana.
 
Back
Top Bottom