Mkuu Drifter ,CHADEMA ina viongozi, wanachama na wafuasi wasiojitambua, wanaojisikia sana, wasiosikia mawazo mbadala, wabishi na wasio na mikakati ya maana, hii ni uongo?. Chadema imewahi kuwa na mikakati gani ya kuingia Ikulu?.
Mkuu Drifter, kuna vitu vinaitwa facts and fallacies, ili kupata mafanikio, kuna mambo unaweza kufanya mwenyewe na ukafanikiwa, na kuna mambo huwezi kufanya mwenyewe ukafanikiwa no matter how good you are!. Haya yanahitaji team work!. Hivyo it's a fact kuwa Chadema peke yake haiwezi kuing'oa CCM na kuingia Ikulu, ni lazima ishirikiane na wengine hata kama some ni dubious!. Na ndia maana hapa Kwa Hili! Hongera Sana Chadema, Hongera Mhe. Mbowe!, Sasa Muwege Mnasikilizaga Ushauri!Pili unawaaminisha kuwa “njia ya kwenda Ikulu” na kuondoa CCM i wazi kwao endapo watashirikiana na wapinzani wengine including some dubious characters.
Mkuu Drifter , ili kufanikiwa sometimes there is some give and take, sometimes one has to make some sacrifices, sometimes in order to win, you have to lose or a win win situation, ikiwemo kumezea na kusamehe baadhi ya maovu hata ya uvunjifu wa katiba na ukiukwaji wa sheria unaofanywa na dola!, angalia hapa niliuliza nini Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee? na kwa kuwasaidia wavivu wa kufungua linksPia wakimezea na kusamehe baadhi ya maovu hata uvunjifu wa katiba na ukiukaji wa sheria unaofanywa na dola.
Naomba kuheshimu msimamo wako on illegality na mimi pia nimefanya reciprocitySihitaji kugusia kuhusu illegality ya masuala ya hao wabunge 19 waliofutwa uanachama na CDM wala illegality ya kesi ya ugaidi na
“msamaha” kwa Mbowe. Mitazamo yako ni questionable.
Mkuu Drifter , usichanganye CCM na serikali, CCM ni chama cha siasa na kutafakari kutawala milele!, hivyo CCM kitafanya kila liwezekanalo kuendelea kutawala, hili nimelisema humu mara kibaoSote pamoja na wewe tunajua kuwa CCM haina mpango wa kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.
Hapa naomba to reserve my commentsHizo bla bla kuhusu mkakati wa CDM kuingia Ikulu hazina mantiki yoyote. Kinachoonekana dhahiri ni janja ya kutaka kushusha kiwango cha brand ya CDM.
We need a united front. Sometimes ili uweze kushinda vita ni lazima ushirikiane na adui yako against a common enemy!.Mienendo ya vyama vingine vya upinzani na viongozi wake inajulikana. Pendekezo la ushirikiano linaacha maswali.
Kuna msemo wa kizungu unasema when you are in a difficult situation caught in between the two devils, choose the lesser!,Hii kukubaliana moja kwa moja na mambo ya ovyo yanayofanywa na serikali ndio mwanzo wa viongozi wa CDM kuonekana “wamelambishwa asali”. Hata “maridhiano” wengi hatuyafurahii ingawa tunayaelewa kiasi fulani.
I reserve my commentsKilicho dhahiri pia ni kuwa dola inachokoza kijanja (provoke) wapinzani ili wahamaki ipate fursa ya kuwagonga kwa kisingizio cha kulinda amani. Zile kamati na mahubiri mtiririko ya amani majukwaani na kwenye nyumba za ibada ni maandalizi ya kimkakati. Hatuna illusion kuwa eti CCM inaweza kuondoka madarakani kwa kura (vikaratasi) wala katiba (kijitabu). Hivyo tunaposoma mada za kuhimiza CDM ikubaliane na “nusu shari” ili iishi hata kwenda Ikulu tunajiuliza dhamira ya mwandishi ni ipi hasa?
Kwa hili mimi siisikitikii Chadema bali naisikitikia nchi yangu Tanzania, na kuwasikitikia Watanzania, enzi za JPM, nilikuwa nikiwa na langu jambo ambalo nataka lifanyike, unamlengeshea Magufuli, kimtindo kwa kumlia timing, anaingia King utaona tuu linafanyoka!, toka Maza ametimba, hili la sheria ya uchaguzi, tume huru na Shirikishi ya uchaguzi na creatingKitu pekee unachoweza kuisikitikia (CDM), kama kweli unajali, ni mtihani mgumu ilio nao wa kuingia kwenye uchaguzi mkuu katika mazingira yasiyokubalika kabisa. You may wish to put a word on that.
Mkuu Drifter , asante endelea kunisoma, ila faida yangu mimi ya ziada, ni zaidi ya kutumia silaha ya kalamu, kuandika magazetini na mitandaoni na silaha ya sauti kwa kutangaza kwenye Redio na TV kupitia vipindi vyangu, bado nina silaha ya maangamizi makubwa, WMD, hivyo hatua yangu ya kwanza ni amsha amsha, maana nilikuja kugundua sisi Watanzania ni maneno maneno matupu lakini vitendo sufuri!, Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?Mwisho kabisa sina shaka unajua vizuri sana kuwa mabandiko marefu yenye cross-references kibao ndio kile kinachoitwa “stringing people along”. Tutaendelea kukusoma hadi tufike huko unakotupeleka. Have a good day, Sir.
Hao wabunge wanawauma nin mzee waacheniAndiko nzuri my Adv.Mayala, ila HAKUNA mgogoro ndani ya CHADEMA, huo mgogoro unaouna wewe kama mwandishi, issue hii CHADEMA walishatoa uamuzi wake na uamuzi ule ulikua kuwafukuza uanachama wale watuhumiwa, kwa shinikizo la chama dola wakaenda mahakamani na hukumu imetoka, case hii imefungwa, na tuelewe kuwa kujiunga na chama cha kisiasa ni hiari ila ni muhimu katiba ya chama hicho kuiheshimu.Tanzania yangu inahitaji kuwa na uchaguzi huru na wa haki.
Kaka,mbona km unabariki udharimu wa kipumbavu kwenye jamii ya wastaarabu?Wanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na wabunge wake 19 wa viti maalum, una athari za Kitaifa zenye maslahi kwa taifa. Hoja yangu ya leo ni hii ,"kuna watu wana macho lakini hawaoni!, na wana masikio lakini hawasikii!". Swali ni je Chadema wana macho na yanaona?. Je wana masikio na yanasikia?. Kwenye hili la Wabunge 19, je Chadema wawasamehe wabarikiwe, au waendelee kukomaa nao mpaka kieleweke hata kama ni kulaaniwa?.
Naomba kukiri kupandisha bandiko hili, kwa inspirational kutoka andiko la Kaka yangu/mdogo wangu na bosi wangu kule TEF, Deodatus Balile.
Balile ameandika bandiko hili akiwa safarini jijini New Delhi nchni India.
C&P ya Balile
Mwisho wa kunukuu
Chief @Balile , nikiwa New Delhi nilijifunza imani ya Hinduism kuhusu kitu kinachoitwa karma, hivyo ushauri wako kwa Chadema, utawaepushia Chadema karma ya mambo
mabaya waliowatenda hawa wadada 19 ambao mimi nawaita ni mashujaa, hivyo huu ni ushauri mzuri, wa hekima na busara sana kwa Chadema wenye maslahi kwa Chadema na maslahi kwa taifa only if Chadema wana macho ya kuona na wanaona, na wana masikio ya kusikia na wanasikia, kwasababu kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii.
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakabiliwa na kesi ya ugaidi, nilipandisha makala mfufulizo za Kilio cha Haki, nikiangazia haki jinai.
Kwenye sala yetu ya Baba Yetu, kuna mstari "Utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea" hivyo tulimpongeza rais Samia kwa kauli hii baada ya Freeman Mbowe kuombewa msamaha
Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Baada tuu ya bandiko hili, haukupita muda hatimaye Freeman Mbowe alisamehewa na kesi ya Mbowe ilifutwa!,
Sisi wa kupongeza tukapongeza
Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
Sasa kuna ugumu gani Chadema kuwasamehe hawa wabunge wake 19?.
Hili sakata la wabunge hawa toka lilipoanza, mimi nimekuwa very open, objective and very transparent
Na nikashauri Chadema
Katika Salaam zangu kwa mwaka mpya, Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
Japo kwa jicho la juu juu, hao 19, wanaonekana kama wameshinda kesi yao mahakamani but in reality ni wameshindwa na hili nililisema The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! kwasababu katiba ya Chadema ina kipengele kilicho kinyume cha katiba, mwanachama wa Chadema akifungua shauri lolote mahakani, akishindwa kesi ni amejifukuzisha, hivyo Mahakama tayari imeishabariki kufukuzwa kwao, salama yao ni kusamehewa tuu!.
Kwa vile mimi namfahamu Freeman Mbowe kuliko Chadema wengi, Mbowe ni muungwana, Mbowe ni mtu wa shukrani, na baada ya kikao cha CC kuwatimua, Freeman Mbowe aliingia huruma na kufukuzwa kwao, akawasamehe, akawaita Nairobi, akawasamehe, akawashauri waombe msamaha, ili wayamalize, wakamgomea!.
It's high time Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Aikael Mbowe, kuitumia kofia yake ya Uenyekiti wa Chadema kwa kuitekeleza kwa vitendo sala ya Baba Yetu, kwa mtindo wa reciprocity kama yeye alivyosamehewa bila kuomba msamaha, sasa ni zamu ya na yeye kusamehe tuu bila kuombwa msamaha?., au Chadema iendelee kukomaa nao ili kuwaonyesha, kuwakomoa na kuwanyorosha?.
Tena na mimi kwa vile ubavu wangu ni pande za Kaskazi, na mimi nimeunga tela hija za migombani.
Merry Christmas
Paskali.
We pimbi. tuMkuu Drifter , asante endelea kunisoma, ila faida yangu mimi ya ziada, ni zaidi ya kutumia silaha ya kalamu, kuandika magazetini na mitandaoni na silaha ya sauti kwa kutangaza kwenye Redio na TV kupitia vipindi vyangu, bado nina silaha ya maangamizi makubwa, WMD, hivyo hatua yangu ya kwanza ni amsha amsha, maana nilikuja kugundua sisi Watanzania ni maneno maneno matupu lakini vitendo sufuri!, Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Hivyo mwaka huu wote wa 2024 ni mwaka wa amsha amsha, na mwaka 2025 ni mwaka wa vitendo, na kisipoeleweka, ni kubutua tuu WMD!.
Mungu Ibariki Tanzania
P
Mkuu Drifter ,CHADEMA ina viongozi, wanachama na wafuasi wasiojitambua, wanaojisikia sana, wasiosikia mawazo mbadala, wabishi na wasio na mikakati ya maana, hii ni uongo?. Chadema imewahi kuwa na mikakati gani ya kuingia Ikulu?.
Hili ya karma kuitandika, Chadema, sio tishio ni real!. Kwa vile unaweza kunisoma naamini kabisa unaiona karma inavyo itafuna Chadema, and take it from me, mkifanikiwa kuwatimua hawa 19 bila kuwatimua kwa haki, believe me, the karma consequences will be devastating!. Mlipo mtimua Zitto, niliwashauri Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"... unajua ni nini kiliwakuta wahusika wakuu wote wa kadhia hii, mmoja baada ya mwingine?. Mimi nakijua!, watu mkiambiwa wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, mnabisha!.
Tena hizo karma, ni cha mtoto, nimewashauri Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu karma yake itakuwa very devastating!.
P
Mkuu Bulesi , there you are.Unaposema kuwatimua kwa haki una maana gani?
Acha upumbavu, jua kwanza sifa za kuwa mbunge kwenye Bunge letu,then uje hapa u commentHao wabunge wanawauma nin mzee waacheni
Mkuu Bulesi, kwanza nikupongeze tena kwa objectivity yako, kwasababu ni wachache sana humu wanaozijua emergency powers za CC ya Chadema to overrides the roles of Baraza Kuu na Mkutano Mkuu in case of emergency.Central committee ya Chadema ina mamlaka ya kutoa uamuzi kwa niaba ya vikao vya chini yake! Hivyo sikubaliani na wewe kuwa walikiuka utaratibu kwani kuna mambo mengine yanahitaji kuamriwa kwa haraka kutokana na unyeti wake; under those emergency conditions , the highest organ can make decisions ili mambo yasiharibike!!
Mkuu Nguruvi3, with due respect, kufuatia huu ugonjwa wa temporary amnesia, due to ile ajali yangu, naomba kwa heshima na taadhima, nisijibu hoja zako kwa sasa, kwa sababu hii amnesia yenyewe ni temporary tuu, ikiisha na kumbukumbu kunirudia, nitakuja kukujibu, ila kiukweli hili la amnesia, linanifikirisha sana!.Watu hawamwelewi Pascal Mayalla kwa hoja
Pascal kwa utaalamu kidogo anakabiliwa na hali (si ugonjwa) unaoitwa ''temporary amnesia'' yaani kupoteza kumbukumbu kwa muda ndiyo maana anakumbuka ya Kitila, Zitto , Mwinyigamba n.k. waulize Wasukuma !
Mkuu nyanyantole , pole na samahani sana Mkuu, nimewawekea katiba ya Chadema humu na taratibu za nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Wakosaji wahukumiwe kwa haki!.Kuna mda unakwaza
Mkuu usichukulie kwa namna tofauti, So sorry ikiwa nimekukwaza lakini intention haikuwa mbaya. Nafuta bandiko na poleMkuu Nguruvi3, with due respect, kufuatia huu ugonjwa wa temporary amnesia, due to ile ajali yangu, naomba kwa heshima na taadhima, nisijibu hoja zako kwa sasa, kwa sababu hii amnesia yenyewe ni temporary, ikiisha kumbukumbu zikinirudia, nitakuja kukujibu ila kiukweli hili linanifikirisha sana!.
P