Wana MATAGA tunawaza, jamaa yetu ataacha LEGACY ipi? Maana haka ka corona kamevuruga mapato, na miradi haijaisha

Wana MATAGA tunawaza, jamaa yetu ataacha LEGACY ipi? Maana haka ka corona kamevuruga mapato, na miradi haijaisha

Baada ya hii Corona, the world won't remain the same. Mataifa machanga kama Tanzania yanayotegemea hisani toka kwa mataifa mengine yatakuwa the biggest victims.

Mataifa mengi yanayoelewa yatawekeza zaidi kwenye huduma bora za afya kuliko miradi ya kijinga ya kutafutia sifa kwani kwa dunia ilivyo leo na Evolution inayotokea kuna dalili Pandemics nyingi bado zitakuja.

Rais wetu alipoingia madarakani kitu kukubwa alichofanya ni kuharibu mahusiano mema na jumuia ya wafadhili, exactly kama walivyofanya akina Mugabe, Chavez, Gaddafi nk kitu ambacho ktk awamu yake ya mwisho ndio itakuwa his economic death bed.

China ambayo labda angewakimbilia ili wampe economic handouts ndio hivyo tena uchumi wao umeshaporomoka kwa 6.8% na kufanya warudi pale walipokuwa mwaka 1990 yaani miaka thelathini nyuma.....!!!

Miradi yoote aliyoanzisha Mr. Magufuli hayataweza kuendelea na kuna uwezekano mkubwa yakaachwa kabisa baada ya 2025 kwani hayana Economic Viability.
Angalia jinsi Corona ilivyo poromosha uchumi unaotegemea mafuta (petroleum).
Sote tunajuwa nguvu ya dola ni mfumo wa Petrodollar.

Hili janga linatutesa wote matajiri hadi maskini, mashariki hadi magharibi, kusini hadi Kaskazini.
COVID-19 limekuja kuleta anguko kubwa la Marekani zaidi ya anguko la China.
 
Sisi MATEGE msituone tuko kimya, tuna mawazo sana, tulijua tungemaliza miradi mingi 2021, baada ya hapo tukaanza nyimbo za kuimba na kusifu mafaniko na kumpa send off jamaa yetu iliyojaa furaha na jina lisilosahaulika kwa wananchi.

Ng'ombe wa masikini hazai, kamekuja ka korona, biashara zimesimama,kodi hazilipwi, na sisi wakandarasi wako saiti wanasubiri hela.

Kwa kawaida wanapoondoka, hupenda kuacha alama za kukumbukwa, naona miradi ya alama inaweza isiishe,na wataalam wanasema haka ka kirusi kanaweza kurandaranda mtaani kwa miaka miwili mpaka 2022, sasa tunabakiza miaka miwili au mmoja na nusu, hapohapo tufufue uchumi,ndipo tupate hela za kumalizia miradi.

Halafu huwa inakuwaje kwamba kipindi cha pili cha uongozi huwa kanatokea ka kitu kanakomfanya aliyeshika hatamu aonekane namna gani mbele ya jamii?
Hata lile zindiko LA mwenge limeshindikana mwaka huu,
 
Hivi hii kweli inaingia akilini kuona mtu anashangilia ikikwama miradi ya maendeleo ambayo faida zake zingenufaisha wote akiwemo na yeye na nduguze au uzao wake, wanufaika ni wale wanao mchukia Magufuli na wanao mpenda?
Mbwembwe na kejeli zenu zimeharibu miradi
 
Kweli inaingia akilini mtu anashangilia gonjwa la Corona linauwa watu kisa kiongozi wa nchi ashindwe kuleta maendeleo?
Mkuu huwezi jua next victim atakuwa nani, wewe, nduguyo au mimi au huyo unaye mchukia. Wewe huna exception katika kupata maambukizi ya hili gonjwa au pengine kupata madhara mabaya kabisa ya gonjwa hili.

Siasa zingine za ajabu sana na kujitoa ufahamu.
Miradi ya kupiga 10% hiyo. mbona kwenye miradi ya kusaidoa wanyonge kama kupambana na korona hatumuoni
 
Mbwembwe na kejeli zenu zimeharibu miradi
Kwamba hizo mbwembwe na kejeli za nchi iliyopo Afrika imeleta COVID-19 duniani na kuharibu miradi ya nchi mbalimbali au?
Na kule nchi zilizo endelea mambo magumu ilikuwa mbwembwe zao?
 
Kwamba hizo mbwembwe na kejeli za nchi iliyopo Afrika imeleta COVID-19 duniani na kuharibu miradi ya nchi mbalimbali au?
Na kule nchi zilizo endelea mambo magumu ilikuwa mbwembwe zao?
Tuliwaonya mtafeli nyie mkakazana kusifu na luabudu ujinga, hela ya kumalizia hiyo miradi Hamna, hiyo ni white elephant projects.
 
Angalia jinsi Corona ilivyo poromosha uchumi unaotegemea mafuta (petroleum).
Sote tunajuwa nguvu ya dola ni mfumo wa Petrodollar.

Hili janga linatutesa wote matajiri hadi maskini, mashariki hadi magharibi, kusini hadi Kaskazini.
COVID-19 limekuja kuleta anguko kubwa la Marekani zaidi ya anguko la China.
Mmeanza excuses kibao. Ukweli uchumi wetu ulianza kuanguka toka 2015 Oct.
 
Tuliwaonya mtafeli nyie mkakazana kusifu na luabudu ujinga, hela ya kumalizia hiyo miradi Hamna, hiyo ni white elephant projects.
Ujinga wa mtu unaonekana kwenye maandishi ya mtu, chuki na hasira zisizo dhibitiwa pia huonesha kiwango cha ujinga wa muhusika.

Mtu hashauriwi kwa matusi au kejeli, mtu asiye tambua heshima ya uongozi uliopo kwenye jamii anayo ishi ni mjinga wa elimu ya maadili na uraia mwema.
 
Sisi MATEGE msituone tuko kimya, tuna mawazo sana, tulijua tungemaliza miradi mingi 2021, baada ya hapo tukaanza nyimbo za kuimba na kusifu mafaniko na kumpa send off jamaa yetu iliyojaa furaha na jina lisilosahaulika kwa wananchi.

Ng'ombe wa masikini hazai, kamekuja ka korona, biashara zimesimama,kodi hazilipwi, na sisi wakandarasi wako saiti wanasubiri hela.

Kwa kawaida wanapoondoka, hupenda kuacha alama za kukumbukwa, naona miradi ya alama inaweza isiishe,na wataalam wanasema haka ka kirusi kanaweza kurandaranda mtaani kwa miaka miwili mpaka 2022, sasa tunabakiza miaka miwili au mmoja na nusu, hapohapo tufufue uchumi,ndipo tupate hela za kumalizia miradi.

Halafu huwa inakuwaje kwamba kipindi cha pili cha uongozi huwa kanatokea ka kitu kanakomfanya aliyeshika hatamu aonekane namna gani mbele ya jamii?
KOrona ipe wiki 6-8, itapita na maisha yataendelea.
 
Angalia jinsi Corona ilivyo poromosha uchumi unaotegemea mafuta (petroleum).
Sote tunajuwa nguvu ya dola ni mfumo wa Petrodollar.

Hili janga linatutesa wote matajiri hadi maskini, mashariki hadi magharibi, kusini hadi Kaskazini.
COVID-19 limekuja kuleta anguko kubwa la Marekani zaidi ya anguko la China.
Ninatofautiana na hiyo hoja yako, uchumi wa China tayari umeshaporomoka kwa 6.8% na kuirejesha uchumi wake ilipokuwa miaka 30 nyuma 1990.
 
Sisi MATEGE msituone tuko kimya, tuna mawazo sana, tulijua tungemaliza miradi mingi 2021, baada ya hapo tukaanza nyimbo za kuimba na kusifu mafaniko na kumpa send off jamaa yetu iliyojaa furaha na jina lisilosahaulika kwa wananchi.

Ng'ombe wa masikini hazai, kamekuja ka korona, biashara zimesimama,kodi hazilipwi, na sisi wakandarasi wako saiti wanasubiri hela.

Kwa kawaida wanapoondoka, hupenda kuacha alama za kukumbukwa, naona miradi ya alama inaweza isiishe,na wataalam wanasema haka ka kirusi kanaweza kurandaranda mtaani kwa miaka miwili mpaka 2022, sasa tunabakiza miaka miwili au mmoja na nusu, hapohapo tufufue uchumi,ndipo tupate hela za kumalizia miradi.

Halafu huwa inakuwaje kwamba kipindi cha pili cha uongozi huwa kanatokea ka kitu kanakomfanya aliyeshika hatamu aonekane namna gani mbele ya jamii?
Corona ikiendelea mpaka 2023 chattle itakuwa kama Ulaya.
 
Wachukia China mnavyojifariji na kuchimbia kichwa mchangani inachekesha.
Unavyoporomoka kwa kasi uchumi wa Marekani na Magharibi hamuoni??

China amerudi mapema sana kwenye uzalishaji na jinsi hao jamaa unaowashangilia walivyo hitaji bidhaa zinazo zalishwa China kipindi hiki walichojifungia ndani na kupambana na janga la Corona utaona majibu yake muda mfupi tu kabla ya miaka miwili.
Porojo tu hizo, hujui mambo ya uchumi wewe. Unaleta hadithi za vijiweni.
 
Back
Top Bottom