Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Angalia jinsi Corona ilivyo poromosha uchumi unaotegemea mafuta (petroleum).Baada ya hii Corona, the world won't remain the same. Mataifa machanga kama Tanzania yanayotegemea hisani toka kwa mataifa mengine yatakuwa the biggest victims.
Mataifa mengi yanayoelewa yatawekeza zaidi kwenye huduma bora za afya kuliko miradi ya kijinga ya kutafutia sifa kwani kwa dunia ilivyo leo na Evolution inayotokea kuna dalili Pandemics nyingi bado zitakuja.
Rais wetu alipoingia madarakani kitu kukubwa alichofanya ni kuharibu mahusiano mema na jumuia ya wafadhili, exactly kama walivyofanya akina Mugabe, Chavez, Gaddafi nk kitu ambacho ktk awamu yake ya mwisho ndio itakuwa his economic death bed.
China ambayo labda angewakimbilia ili wampe economic handouts ndio hivyo tena uchumi wao umeshaporomoka kwa 6.8% na kufanya warudi pale walipokuwa mwaka 1990 yaani miaka thelathini nyuma.....!!!
Miradi yoote aliyoanzisha Mr. Magufuli hayataweza kuendelea na kuna uwezekano mkubwa yakaachwa kabisa baada ya 2025 kwani hayana Economic Viability.
Sote tunajuwa nguvu ya dola ni mfumo wa Petrodollar.
Hili janga linatutesa wote matajiri hadi maskini, mashariki hadi magharibi, kusini hadi Kaskazini.
COVID-19 limekuja kuleta anguko kubwa la Marekani zaidi ya anguko la China.