Uchaguzi 2020 Wana Mbeya hatupo tayari kwa Tulia Ackson

Uchaguzi 2020 Wana Mbeya hatupo tayari kwa Tulia Ackson

Write your reply...naona mnabunya tu Pesa za nyanya chungu Wa watu(tulia) huku mkijua mbeya wanajitambua.
 
Mwaka 2010 sugu alipita kwa sababu watu walimchoka yule mzee mpesya(Kama sijakosea jina) wa ccm na 2015 ccm ilikuwa imechokwa,2020...?
Na sasa ndio imchokwa zaidi/ Magufuli alitegemewa kurudisha imani ndio kabis kafanya hovyo.
 
Back
Top Bottom