ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 226
- 377
Bia yetu njoo huku dadaako anavuliwa nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawishi up kamshawishi nani na wapi walipo shawishikaMkuu ushawishi wa huyu dada Mbeya unaongezeka Kila uchao na Kama upo karibu na sugu mwambie asipoteze pesa nyingi kwa kampeni,afanye maisha maana lolote laweza tokea.
Vyama pinzani vilipo anzishwa mbeya mjini walichagua mbunge Wa chama gani?Mwaka 2010 sugu alipita kwa sababu watu walimchoka yule mzee mpesya(Kama sijakosea jina) wa ccm na 2015 ccm ilikuwa imechokwa,2020...?
Wasio ijua mbeyaKwa nature ya wanaume wa Mbeya acheni tu Dada waongoze, coz hata familia zenu watawala ni wanawake.
Very true. Zugu atumie pensheni vizuri. Mbeya wanakwenda na Msomi Sasa.Mkuu ushawishi wa huyu dada Mbeya unaongezeka Kila uchao na Kama upo karibu na sugu mwambie asipoteze pesa nyingi kwa kampeni,afanye maisha maana lolote laweza tokea.
Atujawai kuongozwa na mwanamkeWanambeya nawaaminia kuongozwa na huyo kimbaumbau mwenye roho mbaya ni aibu.
ZuguVery true. Zugu atumie pensheni vizuri. Mbeya wanakwenda na Msomi Sasa.
Jiandae kisaikolojiaAtujawai kuongozwa na mwanamke
Za Mary mwanjelwa wakishilikiana na mulugo tulikura kwanini zauyu tuziacheJe Kama ccm wameichoka,na yeye wamemchoka?maana nasikia wanambeya wananufaika kabla hajawa mbunge wao kwa misaada lukuki.
We we awezi nakwambia uyu Dada atageukwa atabaki anashangaa mpaka anao waamini watamgeuka akivnakwambiaJiandae kisaikolojia
Tunza/hifadhi maneno yako Ndugu. Ni suala la muda tu. Kwa mustakabali wa Jimbo ukiacha ushabiki wa kupigizana kelele Mbeya mnamhitaji huyu Mtu kwa sasa na ndani ya miaka mitano (5) mtaona tofauti kubwa sanaWe we awezi nakwambia uyu Dada atageukwa atabaki anashangaa mpaka anao waamini watamgeuka akivnakwambia
Rushwa imehalalishwa?Safi Sana...