Uchaguzi 2020 Wana Mbeya hatupo tayari kwa Tulia Ackson

Hizo siasa wanaziweza wenzetu Kenya [emoji1139].
Wao wamestaarabika sana ndiyo maana hata maendeleo wenzetu wapo juu.

Sisi wapinzani tulijaribu sana kufanya siasa za kistaarabu lkn wenzetu wametugeuza maboya
 
Mwaka 2010 sugu alipita kwa sababu watu walimchoka yule mzee mpesya(Kama sijakosea jina) wa ccm na 2015 ccm ilikuwa imechokwa,2020...?
2020 sugu atashinda kwasababu ya ushindani wa wana sisiem wenyewe hawapendani maana Marry Mwanjelwa ndio mwenye jimbo kwa maana yeye ndio mwenye asili ya hili jimbo yule dada asili yake ni Rungwe je Sister anataka na Marry aende wapi?
 
Una maanisha kuwa maendeleo yanapatikana kwa upendeleo?
 
Huyo mbana pua wa ccm ni kiburi sana na PhD yake ya mahakama fanyeni mumkomoe maana keshawatoa kafara vijana wawili wa chama cha biringanya.
 
Waache watoane macho wenyewe kwa wenyewe
2020 sugu atashinda kwasababu ya ushindani wa wana sisiem wenyewe hawapendani maana Marry Mwanjelwa ndio mwenye jimbo kwa maana yeye ndio mwenye asili ya hili jimbo yule dada asili yake ni Rungwe je Sister anataka na Marry aende wapi?
 
2020 sugu atashinda kwasababu ya ushindani wa wana sisiem wenyewe hawapendani maana Marry Mwanjelwa ndio mwenye jimbo kwa maana yeye ndio mwenye asili ya hili jimbo yule dada asili yake ni Rungwe je Sister anataka na Marry aende wapi?
Natabiri marry atanyamazishwa mapema kwa amri ya mwenyekiti na ndio Moto utakapoanzia kuwaka kwa ushindani ccm vs chadema
 
Hizo lugha za kijinga Jinga zimebakia ndani ya lumumba maana ndiyo hao wadudu waliko jazana ukiwemo wewe kama kiongozi wao
Ungesema sisi mazombi,ningekuelewa vinginevyo hakuna aliekutuma ni wewe tu na nafsi yako
 
Hizo siasa wanaziweza wenzetu Kenya [emoji1139].
Wao wamestaarabika sana ndiyo maana hata maendeleo wenzetu wapo juu.

Sisi wapinzani tulijaribu sana kufanya siasa za kistaarabu lkn wenzetu wametugeuza maboya
Mkuu umewahi kuishi Kenya

Acha kudanganywa kuwa Kenya wako juu

Kenya wananchi wanamaisha magumu kutoka na Sera zao za kibepari

Ila wakiwa majukwaani utahisi ni wasitaarabu kweli
 
Natabiri marry atanyamazishwa mapema kwa amri ya mwenyekiti na ndio Moto utakapoanzia kuwaka kwa ushindani ccm vs chadema
Inawezekana mpaka sasa ameahidiwa uwaziri kabisa au nafasi nyingine ifananayo na hiyo au kubwa zaidi ya hiyo
 
Hakika atapata hukumu yake kutoka kwa mwenyezi mungu maana yeye ndiye hiyo mamlaka
Huyo mbana pua wa ccm ni kiburi sana na PhD yake ya mahakama fanyeni mumkomoe maana keshawatoa kafara vijana wawili wa chama cha biringanya.
 
Nipo hapa koinange
Mkuu umewahi kuishi Kenya

Acha kudanganywa kuwa Kenya wako juu

Kenya wananchi wanamaisha magumu kutoka na Sera zao za kibepari

Ila wakiwa majukwaani utahisi ni wasitaarabu kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…