Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #61
Hizo siasa wanaziweza wenzetu Kenya [emoji1139].
Wao wamestaarabika sana ndiyo maana hata maendeleo wenzetu wapo juu.
Sisi wapinzani tulijaribu sana kufanya siasa za kistaarabu lkn wenzetu wametugeuza maboya
Wao wamestaarabika sana ndiyo maana hata maendeleo wenzetu wapo juu.
Sisi wapinzani tulijaribu sana kufanya siasa za kistaarabu lkn wenzetu wametugeuza maboya
Mbai kwa upande wa chadema wanaweza ila upande wa Ccm wanakwama
Kwanza kukwama kunatokana na uwezo wa chadema kuwa wajuaji kuliko wasikilizaji
Pili chadema kuwa na hasira bila kuruhusu ukweli uwe wazi ili ajue nini kifanyike
Tatu ni watu walio aminishwa kuwa wanaonewa hata kama wanajua wamevunja sheria za nchi
Mbwai na isiwe mbwai
Ila mpumbavu mwonyeshe heshima na upendo ili ajifunze kwako