Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Ikiwa mwaka 2020 kutakua na wawakilishi wa mamba bungeni basi mchagueni tu huyo bibi maana anafaa zaidi kuwakilisha mamba kwa muonekano wake!
 
Due to her arrogance of higher level she will fail miserably,she is doing everything possible as deputy Speaker to please Mr President to have mercy on her to clinch Mbeya town Constituency but that is never easy coz mbeya is cosmopolitan city with knowledgeable educated people, not brainwashed as she might think,better this Woman humble herself and respect all people regardless of their political affiliation,
Prides comes before fall
 
Sisi tunasimama na Tulia . Naona kama uchaguzi unachelewa Dr Tulia achukue jimbo
 

Jitahidi kuandika Kiswahili mwana ukiandika kingereza unaboronga Adjective juu ya adjective
 
Hivi si ninasikia Ameandaa timu ya kuhonga elfu 30 maeilayani ili Watu wafanye maandamano ya kumuunga? Ananunua utu. Wamepita chunya na Mbalali wakiwaomba watu wajifanye yeye ndiye figure ya Mbeya. Kuna kijana nasikia anania ya kugombea Mbeya anamtia presha huyu dada. Vipi mumeshamrudishia billion 4 zake?
 
HUYO TULIA AENDE AKAGOMBEE KWAO TUKUYU MBEYA MJINI TULISHAGA WAKATAA WANYAKYUSA WANA VIDOMO DOMO SANAHALAFU NI AIBU KUONGOZWA NA MWANAMKE MJI MKUBWA KAMA MBEYA,AKAONGOZE WENZAKE WA MWAKALELI HUKO TUKUYU SIO MBEYA
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Umeongea point kubwa kabisa
 
Ukiona mtu anaacha hoja za msingi anaongelea small issues ujue umeishiwa eti mwanamke.. kumbe ht katika familia yenu unamdharau mama yako kwasababu mwanamke, eti mji mkubwa huu utalinganisha na bunge mbona ni naibu spika,
 
Alete maendeleo kwa mlango wa nyuma kwani wapigakura watakuwa wanamuinamisha maendeleo yanatokea nyuma?
mm nakapenda kamama kale, kanajitolea sana hata kama kanataka kugombea mm naweza kukapa kalete maendeleo hata kwa mlango wa nyuma tu
 
Sio kweli kuwa na ushawishi ni kigezo kwa serikali hii.Dar walipiga chini ccm pamoja na kura za uraisi.lakini kuna miradi luluki ya maendeleo na mkuu wa mkoa ametamka hadharani juu ya hilo kwahiyo tupunguze upotoshaji.yeyote atayepitishwa na chama chake ni sahihi.
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
 
huyo labda awe mbunge wa ikulu maisha yake yote ila kwenye sanduku la kura hapiti.
Mkuu usisahau kitu kimoja. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM hahitaji kushinda uchaguzi ili kutangazwa kuwa mshindi. Kuna DED mmoja aliniambia wale wabunge wa upinzani waliotangazwa kushinda ilikuwa hivyo kwa ajili ya sababu mbili - moja angalau kuonyesha upinzani nao wanashinda hasa sehemu ambazo ilikuwa wazi upinzani wana nguvu zaidi, pili ni kwa kuwa CCM hawakuwa wanamuona mgombea wao kuwa atawasaida sana akiwa mbunge.

Kwa hiyo suala la Tulia kugombea ubunge ni formality tu, matokeao tayari yanajulikana; Sugu atapata kura zaidi lakini Tulia atapata Ubunge.
 
Ushawishi anao ndiyo kakarabati shule kongwe loleza kaomba fedha zimeongezwa loleza na iyunga: Kakarabati kituo cha afya Mwanjelwa serikali imeongeza fedha zaidi alimuomba waziri mkuu siku ya ziara akakubali
Kaomba wamachingabwatumie eneo la Airport Rais kakubali
 
means hata ikitumika figisu atabaki kuwa mbunge wa Ikulu kwasabab order ya hiyo figisu inatoka Ikulu.

Then huyo DED kwa swala la Mbeya kakuongopea au hajui tu kuwa SUGU alipata kura nyingi kuliko mbunge yoyote hapa Tanzania, unaanza wapi kumkata mtu wa namna hii??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…