mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Tangu lini majina ya mwa- yakawa ya Msukuma!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni true identity humalizi wiki! Never do that!Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
GoodKwani maendeleo yaliyopo mbeya kayaleta yeye? na nani wa kulaumiwa endapo mbeya haina maendeleo miaka 55 ya uhuru? mbona wajikaanga mwenyewe kwa hoja nyepesi? you can fool people at once but not all the time.
Tupo mbeya ww wa sumbawanga mpigie kura nkasiHizi ni kampeni za majitaka umebanwa mengi sana hapa Mbeya Kuhusu wananchi umemaliza hizi ni fitna ndogo wapigakura JF ila wapigakura tupo Mbeya
Tulia HANA MVUTO.
Una maana na gani?
Yaani nchi hii tumeigawa kuwa wale waliwachagua wapinzani wasiletewe maendeleo, vipi kodi zao wachukue au nazo waziache?
Kwani wana Mbeya wanataka pambo la nyumba? Mbona hata Sugu hana mvuto?
Hapa ndo nimekuelewa mkuu...!Join date may 19 , 2019
MBEYA haiwezi kuendelezwa na kimada wa mkubwaKama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Member mpya JamiiForums uko MBEYA sehemu gani?Hizi ni kampeni za majitaka umebanwa mengi sana hapa Mbeya Kuhusu wananchi umemaliza hizi ni fitna ndogo wapigakura JF ila wapigakura tupo Mbeya
Join date may 19 , 2019
Kama ni sura muulizeni Batilda Arusha miaka Ile ilikuwajeKatika siasa tunachagua sura. Ingekuwa hivyo basi mdee asingechaguliwa