Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
MAENDELEO TUNA OMBA AU NI HAKI YETU, MBEYA HATUBEMBELEZI KIPATA MAENDELEO, TUNAKATWA KODI BWANA, GHWA KUGHU UGWE??

AKIJA PEKUPEKU TUNAMCHOMA NA MIBA YA HUKU.

KWANZA MAPOGRAMME MENGI YENYE MAPESA KIBAO YA KODI ZETU.

TUNGEMWONA WA MAANA KAMA HIZO PESA ANGEPANUA HII BARABARA TOKA UYOLE MPAKA MBALIZI, ANYWAY BASI HATA ANGEZIBA MASHIMO YA BARABARA HIZI MBEYA,

SUGU ALIWEKA TAA ZA BARABARANI, BASI ANGEKUJA HATA KUREKEBISHA..KUNA MAMBO MENGI YA KIMAENDELEO, ANGEKUJA NAYO TUNGEMWELEA LAKINI SI PLAN YAKE YA KUMWAGA MAPESA KWENYE MAT.TRUST SIJUI, SIJUI MAT.MARATHON SIJUI WEWEEEEEEE

SI BORA HATA SUGU KAJA NA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI?!!


AISEE DADA HUKU JIPANGE AISEEE...SISI NI MBEYA HALISI.

TUNATAKA SERA ZA KUBADILISHA MBEYA..SI KUMWAGA HELA ILI TUKUPE UBUNGE..NA UKIUPATA JE,


RUSHWA HATUTAKI WANA MBEYA.
 
Huyo ni sawa na Mbunge wa Arumeru Magharibi GIBSON MEISEYEKI ambaye HAKUNA CHOCHOTE alichofanya.

NI HOVYO yaani ni kama Arumeru haina Mbunge kabisa.
 
Sipati picha akishakuwa mbunge akianza kuwajibu kama anavyowajibu pale bungeni.
Mtu ameshaeleweka kwamba ameacha kichwa chake anatumia vichwa vya wengine na nyie mkamchagua ubunge mtakuwa mmekwisha.
Shauri yenu.
 
Huyo hana ushawishi anelekezwa na yeye ndo anakuja kusema. Subirini mmchague muone.
 
HUYO TULIA AENDE AKAGOMBEE KWAO TUKUYU MBEYA MJINI TULISHAGA WAKATAA WANYAKYUSA WANA VIDOMO DOMO SANAHALAFU NI AIBU KUONGOZWA NA MWANAMKE MJI MKUBWA KAMA MBEYA,AKAONGOZE WENZAKE WA MWAKALELI HUKO TUKUYU SIO MBEYA
Ha ha ha , mnawakataa wanyakyusa ambao ndio wameibeba Mbeya ! Ndio maana mnatawaliwa na wakinga akina mbilinyi.
 

Acha uongo wako sugu kaweka taa wakati ni mradi waserikali na kujenga hizo barabara- sugu kubwa alilofanya ni kujenga hoteli yake basi
 
Ha ha ha , mnawakataa wanyakyusa ambao ndio wameibeba Mbeya ! Ndio maana mnatawaliwa na wakinga akina mbilinyi.
wewe nani kakwambia wanyakyusa wameibeba mbeya??,mara miamoja tutawaliwe na wakinga kuliko wanyakyusa,mbeya hakuna mnyakyusa atakuja kuchukua jimbo pale,kakomaeni kwenu busokelo huko
 
wewe nani kakwambia wanyakyusa wameibeba mbeya??,mara miamoja tutawaliwe na wakinga kuliko wanyakyusa,mbeya hakuna mnyakyusa atakuja kuchukua jimbo pale,kakomaeni kwenu busokelo huko
Utakua umezaliwa jana wewe ,fuatilia historia vizuri, makabila yote ya mbeya walikua wanajiita wanyakyusa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, na wakinga kwao sio mbeya acha kukariri , hapo ndio unapojionesha uhalisia wa wasafwa wanawaamini wakinga kuliko wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
utakuwa mnyakyusa wewe sio bure,eti makabila yoote ya mbeya walikuwa wanajiita wanyakyusa? umezaliwa mwaka 2000 lazima ndio kizazi cha shule za kata hiki,ni sawa kusema woote wanaokaa mwanza ni wasukuma,au makabila yoote ya kagera ni wahaya au makabira yoote ya mkoa wa kilimanjaro ni wachagga,
Mbeya Mjini hatutaki kuongozwa na wanyakyusa sababu ya vimidomo vimidomo vyenu halafu kwenu ni tukuyu na kyela sio pale mjini,bora waongoze wakinga wa njombe sio nyie wanafiki sana pambaneni dada zenu waache kujichubua sio kuongoza mbeya
halafu mimi sio msafwa ila ni mkazi wa mbeya
 
Swala la kukariri linajiendeleza , unapomfukuza Tulia ambae kwao mbeya , asigombee hapo mbeya , bali mkinga atoke njombe atawale hapo mbeya , kweli unaona chaji iko sawasawa kweli ? Utakua unyambuda unawasumbua sana , ndio maana hamjitambui.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unaukimbia usafwa, hiyo ndio tabia yenu , nenda huko.ulikotaja kilimanjaro au mwanza , au Arusha ukagombee kama utapita.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unaukimbia usafwa, hiyo ndio tabia yenu , nenda huko.ulikotaja kilimanjaro au mwanza , au Arusha ukagombee kama utapita.
wamwakaleli mna maneno nyie mkishindwa kidogo mnatukana wasafwa,nakwambia mimi sio msafwa na nawakubali wasafwa kuliko wanyakyusa,vidomo domo sana nyie katazeni dada zenu waache umalaya
 
wamwakaleli mna maneno nyie mkishindwa kidogo mnatukana wasafwa,nakwambia mimi sio msafwa na nawakubali wasafwa kuliko wanyakyusa,vidomo domo sana nyie katazeni dada zenu waache umalaya
Hao dada zenu wenye vigimbi nani anawataka? Hata wakifanya umalaya watafeli tu .myakyusa uliwai ona wapi kashindwa? Tulia mbelekwambele.achana na huyo anaekimbia usafwa wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…