Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Hii nimeichota sehemu...



TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA


Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.


Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.


Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.


Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?


Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.


Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.


Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.

Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.


La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.


Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?


Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.


Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.


Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
Bravo! Hiyo ndiyo democracy!
 
Hii nimeichota sehemu...



TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA


Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.


Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.


Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.


Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?


Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.


Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.


Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.

Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.


La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.


Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?


Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.


Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.


Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
Hivi huyu Mwakanyamale yuko hai kweli ?
 
Tulia ametumia pesa nyingi sana kujitangaza mbeya.Lengo akubalike mwaka wa twenty twenty. Uku tulia hatukutaki
 
Ushawishi anao ndiyo kakarabati shule kongwe loleza kaomba fedha zimeongezwa loleza na iyunga: Kakarabati kituo cha afya Mwanjelwa serikali imeongeza fedha zaidi alimuomba waziri mkuu siku ya ziara akakubali
Kaomba wamachingabwatumie eneo la Airport Rais kakubali
Huo ni upumbavu mtupu, hakuna maendeleo yanayo fanywa eti kwa ushawishi wa mtu fulani. Maendeleo hupangwa na kutekelezwa kwa bajeti. Kinyume cha hapo ni Rushwa na utapeli kwa wajinga. Kwani kama hizo shule zinahitaji ukarabati hazitakarabatiwa mpka huyo Betina awe mbunge? Nimesoma Iyunga na hapo Loleza kwa Mademu zetu napafahamu. Shule hizo zilikuwa zikikarabatiwa tangu wakati ule Mbunge akiwa Polisya Mwaiseje wa NCCR, akaja yule wa CCM nimemsahau koz huwa wanalala tuu bungeni na sasa Sugu.
Maendeleo yanakuja kwa kodi zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa fomu ukifika kachukue na wewe sio kumwanzishia mwenzio majungu mapema namna hii.
Ninyi ndio virusi kwenye chama, Mchana Huku Usiku kule.
Hii nimeichota sehemu...



TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA


Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.


Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.


Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.


Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?


Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.


Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.


Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.

Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.


La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.


Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?


Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.


Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.


Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubunge wa chumbani ameona haumtoshi sasa anatafuta wa jukwaani. Jinga kabisa.
 
mbeya mkimchagua huyo mama kuwa mbunge nitawadharau sana.
 
Watu mbona wana roho mbaya sana. Mtazamo wako JF unataka uwe wa jimbo zima. Tuache ujinga. Kokote kule kama unahisi unakubalika ukifika muda kachukue fomu na kujipima.
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Ikiwa ndio anajenga sasa hivi nyumba huko mbeya, Unadhani akipewa ataleta maendeleo gani? Huoni huo ujenzi ni geresha za uchaguzi hii inamaanisha anajali maslahi yake tu ya kutaka kuwa spika na si kupeleka maendeleo mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nimeichota sehemu...



TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA


Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.


Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.


Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.


Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?


Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.


Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.


Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.

Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.


La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.


Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?


Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.


Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.


Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
Hivi juzi kati nilikutana na jamaa zangu kutoka Geita walinishanganza kidogo. Tulipokuwa tunajadili masuala ya kitaifa wakasema kiu yao kubwa ni kushinda majimbo mawili yanayo shikiliwa na upinzani majimbo hata ni Arusha na Mbeya.

Japo kwa hivyo tunapomuona tulia akikimbia kimbia huku na kule nafikiri ndiyo jitihada zenyewe.

Nilichongundua safari hii ni kwamba wananchi wengi hawataki kelele na mtu ila wata washangaza wengi kipindi cha uchaguzi.

Mwanasiasa mwenye akili timamu asimame upande wa wananchi. Haijalishi ni nguvu gani itatumika lakini nauona ukombozi wa kweli ukifika mwaka huu 2020.
 
Hii nimeichota sehemu...



TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA


Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.


Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.


Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.


Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?


Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.


Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.


Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.

Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.


La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.


Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?


Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.


Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.


Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
huyo ni mbunge wenu tu lazima mmumpende tu
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
ACHA UKUDA WEWE AMESHAWISHI NINI HADI LEO HII KAMA SIYO UPUMBAVU NA UBABE ULIOTUKUKA NI BORA TULIA AKAWE MPISHI MKUU KULE UKULU KULIKO KUOMBA HATA UDIWANI WA KATA YOYOTE HAPA MBEYA MJINI HATA PALE ANAPOJENGA NYUMBA YAKE AKIOMBA UBALOZI WA NYUMBA 10 HAPATI USIJE NA POROJO ZA KIPUUZI KAMA HIZI KWA WATU WA MBEYA AMBAO WAPO LEVEL ZINGINE.
 
USHAURI KWA MH. TULIA
NADHANI AENDE KULE DODOMA AKAGOMBEE TENA HUU MWAKA UNA NJAA NA KULE DOM KAMA KAWA WATADONDOKEA MIKONONI MWA WALE FUNZA WAKUBWA WEUSI WENYE MAFUTA AINA YA UBWAGALA AKIENDAKULE NA HATA MAHINDI PISHI MOJA KILA FAMILIA NA KIBERITI NA CHUMVI YA MAWE UBUNGE ANACHUKUA BILA JASHO LAKINI KWA MBEYA MJINI NADHANI KAMA NCHI ITAINGIA VITANI BASI ITAANZIA MBEYA.
 
Back
Top Bottom