Wana MMU kuna ID humu naitafuta, nikiipata natangaza ndoa rasmi na vikao vyote vitafanyika humu

Wana MMU kuna ID humu naitafuta, nikiipata natangaza ndoa rasmi na vikao vyote vitafanyika humu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiki kikosi kama nakijua vile wamo humu jf Lazima huyu mwenye shela atakuwa Jael siku ya harusi yake akirushua ua litaangukia kwa Depal na wapambe akina amu hawa wanasaka sana ndoa humu
Mtoa mada msitiri mmoja wapo
Jamani
Unatania au?
Kama unatania sawa.
 
Back
Top Bottom