Kuishi na mwanamke hakuna asichokijua yataka moyo wa Jiwe.hahah unasema ni mimi yule sio hahaha braza umenichekesha sana, mimi nataka nimuoe yule
πππWakati uncle umeijua JF mwaka juzi tu. Ushanipita kila kitu.ππ
Aah wapi me huwa sizozani na siwezi kuzozana. Ila nilishaga mpa elimu ikabidi afungue uzi wa kuomba radhi.yule hamumwelewi tu nyie mimi nimetokea kumuelewa sana. Halafu ngoja aje aone hii comment yako unaweza kukimbia hapa braza
Kumbe ule Uzi ulikuwa unakuhusu? NiliuonaAah wapi me huwa sizozani na siwezi kuzozana. Ila nilishaga mpa elimu ikabidi afungue uzi wa kuomba radhi.
Hakuniomba mimi ila aliomba msamaha aliyekuwa anamsakama baada ya kumsihi. Maana aliyekuwa anamsakama alimpuuza. Na mimi nilikuwa nishamchoka yeye kumsakama jamaa, ikabidi nimvae.yule alikuomba msamaha? Hii kweli braza
Ulikuwa wa mfanyabiashara wa hdd Olympus. Mada ilianzia huko.Kumbe ule Uzi ulikuwa unakuhusu? Niliuona
hahaha basi kumbe tutawezana kama anaomba msamaha ngoja nijitose kwakeHakuniomba mimi ila aliomba msamaha aliyekuwa anamsakama baada ya kumsihi. Maana aliyekuwa anamsakama alimpuuza. Na mimi nilikuwa nishamchoka yeye kumsakama jamaa, ikabidi nimvae.
Unamjua unamsikia?ππhahaha basi kumbe tutawezana kama anaomba msamaha ngoja nijitose kwake
πππ hivi humkumbuki huyo?
Mmmmh!!!!Unawashwa angle gani?
Weee acha tu ππππhahah kwenye uzi wa msamaha anatoa vipande tena