Wewe ushapita kabisaNitakuwa muhasibu wa kamati ya harusi. Kufurahia mema ya ndoa yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Qareeeeeh San hii hit songKumepooza sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]DJ waongeze huu
Harusi ichangamke bwana[emoji847][emoji847]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] hapo chacha safiiiWewe ushapita kabisa
mama Deborah nisamehe bure kuna Mtu kasema wewe ni CCP Engineer
Mama debora siku hizi kachizika haswaa!!!sawa mama hongera kwa hilo, unamfahamu huyu Mama Debora lakini?
Wanawake wazuriwazuri kama wewe hawanaga time mapashkuna ya mjiniNdo kwanza nimemjulia kwenye hii thread yako
Wewe na yeye[emoji15][emoji15][emoji15]Wote na nani?
Wakuseme? Hawakuogopi?mmemaliza 'upashkuna' wenu?
bahati nzuri hakuna aliyenisema vibaya hapa.
nilikua nishajiandaa kumharishia mtu!!
mmemaliza 'upashkuna' wenu?
bahati nzuri hakuna aliyenisema vibaya hapa.
nilikua nishajiandaa kumharishia mtu!!