Nimekumbuka screenshot za whatsapp,kuna watu wana mbwembwe.Ni huyo wa mbele mwenye shela..kwa wapenda picha
View attachment 1450739
Halafu ukute mtoa mada ana sura hii...
Cc
Jon Stephano
View attachment 1450855
Comment tena.Comments zangu zimefutwa eeee.
Huyo bibi mjane nae wale wale tu, na yule bwana ake bandia mbona ile ID haiko on air tena 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu muache miss brain bwana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Huyo bibi mjane nae wale wale tu, na yule bwana ake bandia mbona ile ID haiko on air tena [emoji3]
Itakuwa hawa moderators maana nimeandika mbili sizikutiNani anafuta huyo?