Wana Simba mliokua mnabeza, haya Gor Mahia yaibuka mshindi

Naona ni kama umeniandalia maelezo chungu nzima, sitakuvurugia hii fursa adimu na ya heshima kupindukia, ya kunielimisha. Acha niseme kwamba sijui. [emoji1]

sasa kama hujui unabishabisha nini?..nenda kakate vitunguu huko
 
Full time
Gor Mahia 1
Petro de Luanda 0

Tunabanana humu hadi mtoto azaliwe tujue wa nani.
Simba kule Dar hakukaliki wanavyobeza mashabiki wa Yanga.
watu wanakufa njaa wewe unaleta mambo ya kombe la shirikisho,mikenya bana!
 
soma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…