kipanta
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 925
- 1,086
Ten percent ni hatari aseeh aisee hizi ten pasenti nimezinyooshea mikono, eti israel mwenda yuko simba, duchu kameta yuko kwa mkopo, mwenda hahahahaha dogo ni fala dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ten percent ni hatari aseeh aisee hizi ten pasenti nimezinyooshea mikono, eti israel mwenda yuko simba, duchu kameta yuko kwa mkopo, mwenda hahahahaha dogo ni fala dunia nzima
Mkuu ulitaka namba 9 gani tena ilihali mzungu Geogevic yupo.Najua nitaitwa majina yoote hapa, "shabiki maandazi, hujui mpira wewe, ushawahi kucheza mpira?unachangia sh ngapi"
Kwa kweli ikitokea simba ikachukua ubingwa wa ligi basi itakuwa miujiza mikubwa sana na kufika robo fainali ya CAF itabidi ifanywe sherehe kubwa sana.
Aiseee, eiiish , uuuuuwiiiiiii draw au kufungwa siyo sababu ni kwamba team inachezaje? Israel mwenda kichwa chake kimejaa makamasi , he is a thick head, hivi mna hakika anajua hata kusoma na kuandika yule jamaa?
Hapo kuna watu wanaona bora duchu aendelee kuwepo kwa mkopo ila huyu mwenda aendelee kula mshahar a wa bure hapo sitaki kuongelea suala la NAMBA 6 NA NAMBA 9 ambalo kwa mwaka mzima walikosa wachezaji barani afrika wa kusajili.
Oh GOD
Ana makosa Ila sio kwamba kichwani hazijatimia.hata siku ya yanga alimchosha sana inonga kwenda kupokea vipasi njiwa vyake, yaani hata ukimuangalia usoni ni kama akili hazijatimia vizuri kufanya maamuzi kwa haraka hawezi kabisa mipira ya kutoa kurusha yeye anatoa backpass na siku zote pass zake ni njiw huwa zinakomea njiani
Hata Pappe Othman Sakho hatufai eehHata chama hatufai kwa kifupi
Karia yupo, wakiumia hao mechi za Simba zitaghairishwa mpaka wapone.Dogo kukaba hajui, kupandisha timu kwake ni mtihani, kucheza pasi hajui yani sijui yupo pale Simba Sc kutimiza majukumu gani tu.
Cha kushangaza eti ndio backup tegemezi ya Kapombe, daaaah..! Hapo Simba Sc akiumia Zimbwe na Kapombe ujue hakuna team tena.
unazungumzia Kapombe na Zimbwe waliochoka! Zimbwe bado ana maluweluwe ya tobo la Aziz Ki na lile goli alilosababisha Taifa Stars!!Dogo kukaba hajui, kupandisha timu kwake ni mtihani, kucheza pasi hajui yani sijui yupo pale Simba Sc kutimiza majukumu gani tu.
Cha kushangaza eti ndio backup tegemezi ya Kapombe, daaaah..! Hapo Simba Sc akiumia Zimbwe na Kapombe ujue hakuna team tena.