Wana Simba SC tumeshachoshwa na 'Press' zenu za 'Kutuzuga'

Wana Simba SC tumeshachoshwa na 'Press' zenu za 'Kutuzuga'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa Habari).

Kama kweli Simba SC huwa mnakuwa na taarifa (jambo) muhimu kwetu mashabiki ni kwanini huwa hamlitoi/hamtujuzi kabla ya mechi na badala yake huwa mnatupa pale tu timu ikiwa imepata matokeo mabaya na mashabiki kuwa na lawama/malalamiko dhidi yenu uongozi na timu?

Kwahiyo wenyewe mnajiona wajanja na mna akili sana kwa leo hii kuja na hii 'Press Conference' yenu ili kutuzuga, kushusha presha yetu na kututia moyo baada ya jana Simba SC kupoteza mechi dhidi ya Azam FC, huku timu ikionyesha kiwango kidogo cha uchezaji na Kocha Mgunda akituonyesha dhahiri kuwa Simba SC ni mfupa mgumu kwake na hana uwezo wa kuifundisha kama ambavyo mnatulazimisha kuamini na kuwaamini?

Mnaboa na mnatuboa sana tu, sawa?
 
Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa Habari).

Kama kweli Simba SC huwa mnakuwa na taarifa (jambo) muhimu kwetu mashabiki ni kwanini huwa hamlitoi/hamtujuzi kabla ya mechi na badala yake huwa mnatupa pale tu timu ikiwa imepata matokeo mabaya na mashabiki kuwa na lawama/malalamiko dhidi yenu uongozi na timu?

Kwahiyo wenyewe mnajiona wajanja na mna akili sana kwa leo hii kuja na hii 'Press Conference' yenu ili kutuzuga, kushusha presha yetu na kututia moyo baada ya jana Simba SC kupoteza mechi dhidi ya Azam FC, huku timu ikionyesha kiwango kidogo cha uchezaji na Kocha Mgunda akituonyesha dhahiri kuwa Simba SC ni mfupa mgumu kwake na hana uwezo wa kuifundisha kama ambavyo mnatulazimisha kuamini na kuwaamini?

Mnaboa na mnatuboa sana tu, sawa?
Diversion story ni kawaida Kwa nchi za kijamaa.
 
Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa Habari).

Kama kweli Simba SC huwa mnakuwa na taarifa (jambo) muhimu kwetu mashabiki ni kwanini huwa hamlitoi/hamtujuzi kabla ya mechi na badala yake huwa mnatupa pale tu timu ikiwa imepata matokeo mabaya na mashabiki kuwa na lawama/malalamiko dhidi yenu uongozi na timu?

Kwahiyo wenyewe mnajiona wajanja na mna akili sana kwa leo hii kuja na hii 'Press Conference' yenu ili kutuzuga, kushusha presha yetu na kututia moyo baada ya jana Simba SC kupoteza mechi dhidi ya Azam FC, huku timu ikionyesha kiwango kidogo cha uchezaji na Kocha Mgunda akituonyesha dhahiri kuwa Simba SC ni mfupa mgumu kwake na hana uwezo wa kuifundisha kama ambavyo mnatulazimisha kuamini na kuwaamini?

Mnaboa na mnatuboa sana tu, sawa?
Ifike hatua simba mkubali kwa sasa mna timu ya kawaida sana.. tshabalala, kapombe, bocco, nyoni na mkude sio wa miaka minne nyuma, chama alierudi kutoka morroco sio yule alieondoka, pengo la muqquison bado alijazibwa, wachezaji wenu wa kigeni ukiwatoa innonga na onyango wengine wote ni overrated.. hapa kati mlijisahau na kujiona wakali kwa sababu kwenye mashindano yote ya ndani na kimataifa hamkukutana na timu za kuwapa upinzani thabiti wale wa malawi na waangola ni wabovu sana hawafiki hata nusu ya ubora wa al hilal hapa bongo napo mkapiga wajinga jinga tu ila azam wamefunua ubovu wenu jana mlizidiwa kwa kila kitu sioni mchezaji wenu yoyote ambae alikosekana jana angeweza kubadilisha matokeo na jumapili ni vs mtibwa sugar jiandaeni kisaikolojia kwa lolote
 
Tulishasema muda mrefu,,

Mgunda sio kocha,

Na ukiachunguza Kwa makini utagunduwa ni watu wa UTOPOLO pekee ndy wanashawishi mgunda aendelee kubaki msimbazi.


Fukuza Mgunda.
 
Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa Habari).

Kama kweli Simba SC huwa mnakuwa na taarifa (jambo) muhimu kwetu mashabiki ni kwanini huwa hamlitoi/hamtujuzi kabla ya mechi na badala yake huwa mnatupa pale tu timu ikiwa imepata matokeo mabaya na mashabiki kuwa na lawama/malalamiko dhidi yenu uongozi na timu?

Kwahiyo wenyewe mnajiona wajanja na mna akili sana kwa leo hii kuja na hii 'Press Conference' yenu ili kutuzuga, kushusha presha yetu na kututia moyo baada ya jana Simba SC kupoteza mechi dhidi ya Azam FC, huku timu ikionyesha kiwango kidogo cha uchezaji na Kocha Mgunda akituonyesha dhahiri kuwa Simba SC ni mfupa mgumu kwake na hana uwezo wa kuifundisha kama ambavyo mnatulazimisha kuamini na kuwaamini?

Mnaboa na mnatuboa sana tu, sawa?
Wanafikiri hatuna akili. Wanaifanya team kama chama cha siasa na press za kuzuia na kutuliza upepo

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom