Wana hasira tu na Simba.. mkude anaitwa taifa daily lakini hachezi ije kuwa Salamba na Kwasi?Mkuu mwambie kweli simba inaua vipaji ndo mana iliua mpaka cha samatta ndo mana amefika alipo leo
Mkuu kwa mfumo wa simba sahivi kocha anatoa tu mapendekezo but kuna kamati maalumu ambayo ndo inatafakari na kutoa maamuzi ya mwisho....kwa taasisi kubwa kama simba huwezi kumwachia tu eti kocha ndo awe kila kitu kwenye swala kubwa kama ilo...mi napendelea kuona boss wetu moodewji akishirikiana na wataalamu wachache wa mpira atakaowachagua ndo wanakuwa waamuzi wa mwisho...jamaa ana ipenda sana simba na anawekeza hela nyingi so moja kwa moja hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye usajili wakati kawekeza pesa nyingiHakuna ubishi kocha ndio mwamuzi.. haya ni maoni yetu mashabiki wala sio sheria.
Waliopo bongo wanajadili ya Liverpool a/u Man u utawaambiaje??
Uwanjani tunaingi na Jezi tunanunua.. tulia kama hayakuhusu
Kumbuka hata sisi tunaenda viwanjani na tunaona viwango vyaoMashabiki wa soka Tanzania ndio upeo wetu aisee..hapo watu wanatoa mapemdekezo as if wanachangiaga pesa za usajili..unakuta jitu lipo hapa na hata kuchangia timu kwa kuingia uwanjani haliwezi..Nazi kutoa mapendekezo..unakuta hata wengine hawanunui jezi orijino hawanunui..
Alafu hizi ni story za abunuasi aisee..kocha ndie mwenye wachezaji ...atatoa mapendekzo yatafanyiwa kazi...
Viwango wanavyo, ila kwa simba inayotaka kutwaa taji LA Africa, viwango vyao vimeshukaTamaa mmezidi mkuu! Kwasi na Salamba tuliwataka, kwa kuwa mna mawe mkawadaka! Mmeshauwa vipaji vyao sasa hamuwataki!
Jamaa hapo juu hajui washabiki wana nguvu gani kwenye timu...Mkuu kwa mfumo wa simba sahivi kocha anatoa tu mapendekezo but kuna kamati maalumu ambayo ndo inatafakari na kutoa maamuzi ya mwisho....kwa taasisi kubwa kama simba huwezi kumwachia tu eti kocha ndo awe kila kitu kwenye swala kubwa kama ilo...mi napendelea kuona boss wetu moodewji akishirikiana na wataalamu wachache wa mpira atakaowachagua ndo wanakuwa waamuzi wa mwisho...jamaa ana ipenda sana simba na anawekeza hela nyingi so moja kwa moja hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye usajili wakati kawekeza pesa nyingi
Makocha siku zote wanasema wanataka nani kwenye team iwe ni kiungo, beki, mshambuliaji, kipaMkuu kwa mfumo wa simba sahivi kocha anatoa tu mapendekezo but kuna kamati maalumu ambayo ndo inatafakari na kutoa maamuzi ya mwisho....kwa taasisi kubwa kama simba huwezi kumwachia tu eti kocha ndo awe kila kitu kwenye swala kubwa kama ilo...mi napendelea kuona boss wetu moodewji akishirikiana na wataalamu wachache wa mpira atakaowachagua ndo wanakuwa waamuzi wa mwisho...jamaa ana ipenda sana simba na anawekeza hela nyingi so moja kwa moja hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye usajili wakati kawekeza pesa nyingi
Simba inatakiwa isajili watu waliofika makundi CL na Caf confederation tu sio zaid ya hapoSimba tukipata zile beki za NKANA itapendeza sana. Zimetulia no mapepe!
Hahaha, kukimbia tu shida...Utafikiri dume la nyani vile.Zana coulibaly aondoke tu...akiendelea kubaki simba basi msimu ujao naacha kuishabikia simba
Mkuu mwalimu anatoa mapendekezo but mwisho wa siku kamati maalumu ndo inaamua....hiyohiyo kamati ndo wenye maamuzi ya mwisho...hata kocha mwenyewe yupo chini ya iyo kamati so inaweza kumuona hata yeye hafai ikamuondoa na kutafuta kocha mwingine....kwenye kipindi cha usajili ni kipindi ambacho hata kocha mwenyewe hajui hatima yake..anaweza temwa kama wanavyotemwa wachezaji mfumo siku zote huwa hivyoMakocha siku zote wanasema wanataka nani kwenye team iwe ni kiungo, beki, mshambuliaji, kipa
Na hata kuwataja kwa majina kabisa kama amewaona tayari katika team alizokutana nazo
Kazi ya watoa fedha ni kutimiza mahitaji ya mwalimu aliyoyatoa
Ajibu na Gadiel kutoka timu gani?? Acha kuota.. Hakuna Mchezaji atakayeondoka Yanga kama Zahera anamuhitaji.. Eti Kabunda baba yake kavuja jasho na damu Yanga.. mwenyekiti Yanga Kasema timu inaenda Germany kwa marafiki zake mjipangeProfessionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
Timu itaenda ujerumani kwa kuchangishana hizo bukubuku mnazokusanya kwenye mabakuli???mkuu simba ikitaka kumsajili mchezaji yoyote yanga inamchukua tu bila ubishi wowote...mchezaji gani anayependa kuchezea timu ambayo inachangishana bukubuku ndo alipwe mshahara...najua roho inakuuma na nafsi haitaki kukubaliana na ukweli but yanga mpo kwenye hali mbaya...wakina kakolanya wenyewe wameona bora wapoteze msimu bila timu kuliko kuendelea kushinda njaa pale YangaAjibu na Gadiel kutoka timu gani?? Acha kuota.. Hakuna Mchezaji atakayeondoka Yanga kama Zahera anamuhitaji.. Eti Kabunda baba yake kavuja jasho na damu Yanga.. mwenyekiti Yanga Kasema timu inaenda Germany kwa marafiki zake mjipange
hahaaa yaani team inapelekwa Germany kwa marafiki wa mwenyekiAjibu na Gadiel kutoka timu gani?? Acha kuota.. Hakuna Mchezaji atakayeondoka Yanga kama Zahera anamuhitaji.. Eti Kabunda baba yake kavuja jasho na damu Yanga.. mwenyekiti Yanga Kasema timu inaenda Germany kwa marafiki zake mjipange
aliye mleta anajua namna anavyo faa,.Zana hafai aisee..
Bora ww umewaelimisha maana wengi naona kale kajina ka Rage kamewapendeza sanaMashabiki wa soka Tanzania ndio upeo wetu aisee..hapo watu wanatoa mapemdekezo as if wanachangiaga pesa za usajili..unakuta jitu lipo hapa na hata kuchangia timu kwa kuingia uwanjani haliwezi..Nazi kutoa mapendekezo..unakuta hata wengine hawanunui jezi orijino hawanunui..
Alafu hizi ni story za abunuasi aisee..kocha ndie mwenye wachezaji ...atatoa mapendekzo yatafanyiwa kazi...
Changia babaBora ww umewaelimisha maana wengi naona kale kajina ka Rage kamewapendeza sana
Jitafakari kama unatosha kupendekeza hayo kisa tu unaingia uwanjani na kununua jezi za klabu...poor Tanzania football fans ....Hakuna ubishi kocha ndio mwamuzi.. haya ni maoni yetu mashabiki wala sio sheria.
Waliopo bongo wanajadili ya Liverpool a/u Man u utawaambiaje??
Uwanjani tunaingi na Jezi tunanunua.. tulia kama hayakuhusu
Professionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
Kachangie timu yako huko... Unawashwa nn?Jitafakari kama unatosha kupendekeza hayo kisa tu unaingia uwanjani na kununua jezi za klabu...poor Tanzania football fans ....