Wana Simba SC tutaje wachezaji tunaoona hawatufai msimu ujao

Wakuachwa: Zana,. Kwasi, juuko, bukaba, mbonde, mzamiru, mo Ibrahim, ndemla, salamba, mkude, kotei, Simba kwa Sasa imeyumba Sana kwenye eneo la kiungo,. Kotei na akina mkude wamefeli kabisa.
 
Mchezaji. Status
Salamba. ............ mkopo
Mo ibra. ................ Aachwe
Ndemla. ................. Mkopo
Wawa ........................Aachwe
. Zana .............. Kwa heri
Kwasi ....... Kwa heri
Gyan. ................ Kwa heri
 
Simba tunajaza uwanja mzee..unaandika kwa hasira na kuita watu majitu..
 
LENGO NI KUVURUGA TIMU NA KUUA ARI YA WACHEZAJI AU KUTOA USHAURI? wewe ni nani KOCHA WA TIMU GANI DUNIANIA NA AFRIKA? PUMBUAVU MWISHO JANGWANI
 
Simba tunajaza uwanja mzee..unaandika kwa hasira na kuita watu majitu..
Mnajaza uwanja...??? Mbona now mmeisusa timu kwenye mechi zinazoendelea pale Uhuru stadium ?? Mnajaza uwanha hadi msikie timu kubwa inakuja kucheza??

Mnajaza uwanja hadi mkumbushwe wajibu wenu kwenda uwanjani na manara??

Au mnajaza uwanja hadi msikie kiingilio kiwe buku mbili..shame on you Tanzania football fans ..

Mnataka makubwa lakini kwa kutegemea wachache ...huu in ujuha....
 
Wakuachwa: Zana,. Kwasi, juuko, bukaba, mbonde, mzamiru, mo Ibrahim, ndemla, salamba, mkude, kotei, Simba kwa Sasa imeyumba Sana kwenye eneo la kiungo,. Kotei na akina mkude wamefeli kabisa.
Unajua watu mnaongea sijui kwa kujua mnachoongea ama ni bendera fuata upepo..nataka nikuulize kitu kama kweli wewe ni mfuatiliaji wa timu...umeshawahi kuona lini toka omog hadi aussems mchezaji Kotei akawa benchi??

Nyie ndio watu msiojua mpira kulaleki ..mnataja wachezaji wa kanzu na tobo uwanjani..mnataka wachezaji wa kurembaremba...

Chama ni. Mzuri ila kotei ni mzuri zaidi...nikiambia nichague yupi wa kumuacha namuacha chama..japo naye ni mzuri kwenye kushambulia..Ila timu ikiwa inashambuliwa ni mzigo...

Tafakari.
 
Kachangie timu yako huko... Unawashwa nn?
Mzee Mimi sio kama nyie baadhi yenu hapa hata hamuichangii timu yenu..katika orodha ya wanchama 1000 wa kwanza wa SSC Mimi nipo..kadi yangu ya uanachama nalipia kila mwaka ..na sidaiwi mpka miaka mitano mbele...shame on you shabiki maandazi
 
 
Mzee Mimi sio kama nyie baadhi yenu hapa hata hamuichangii timu yenu..katika orodha ya wanchama 1000 wa kwanza wa SSC Mimi nipo..kadi yangu ya uanachama nalipia kila mwaka ..na sidaiwi mpka miaka mitano mbele...shame on you shabiki maandazi
Sasa kama tunajenga nyumba 1 kwanini tugombanie fito mkuu?...
 
Sasa kama tunajenga nyumba 1 kwanini tugombanie fito mkuu?...
Unasema..lakini sio vema sana kuanzisha mada hizi wakati hata pesa tu ya posho watu hawatoi..wanaishia kulalamikia viongozi timu inapokuwa mzigo...

Ukitaka kuamini hili..jitafakari wewe kwa mwaka huu mchango ulioutoa SSC unatosha kufanya lipi??
 
Wakuachwa: Zana,. Kwasi, juuko, bukaba, mbonde, mzamiru, mo Ibrahim, ndemla, salamba, mkude, kotei, Simba kwa Sasa imeyumba Sana kwenye eneo la kiungo,. Kotei na akina mkude wamefeli kabisa.
Mkude, Ndemla, Kotei na Mzamiru huwezi kuwaacha mkuu... utafikiri tunasajili wageni 15+ kumabe mwisho ni 10 Tu
 
We una akili kweli,?? Yaani Mlipili na Erasto wakae bench? Huoni kweli balaa lao pale nyuma?? Hapana..
 
Chama na Kotei wote kwa nafasi zao wanastahili kubaki mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…