Wana Simba SC wenzangu acheni Kununua Magazeti ya Mwanaspoti, Tanzania Daima na Nipashe kwani yana Upendeleo kwa Yanga SC

Hii ipo hata kwenye Mabaa na sehemu nyingine za starehe,siku Yanga ikishinda vinywaji vitanyweka vingi na ofa zitatolewa za kufa mtu lakini Simba ikishinda hawanunui kitu ni maneno matupu tuu na stori
 
Hii ipo hata kwenye Mabaa na sehemu nyingine za starehe,siku Yanga ikishinda vinywaji vitanyweka vingi na ofa zitatolewa za kufa mtu lakini Simba ikishinda hawanunui kitu ni maneno matupu tuu na stori

Wanapiga mkwara mbuzi na wakati wahariri wa magezeti karibia yote wamekiri udhaifu wa mashabiki wa Simba kununua magazeti, zaidi tu ya kupenda kusoma vichwa vya habari na kutembea!

Sasa wanawataka hao waandishi na wahariri wa hayo magazeti wakate mikono ambayo inawalisha? Hata ningekua mimi nisingefanya hivyo. Kama vipi wanunue gazeti lao la Simba tu na hayo mengine yatendelea tu kununuliwa hata kama watasusa.
 
Wenye magazeti siku zote wanajua, wanunuzi au wateja wao ni mashabiki wa Yanga. Ndugu zetu wa Simba labda itokee tu.
 
Hata hivyo Simbwa SC muko wachache sana, kwahyo hata msipo nunua yataisha tu. Hahahahaha........
 
IQ ndogo..wazungu wananunua magazeti ..unaweza kushindana nao kwa technology...Rage apewe tuzo ya heshima kuwaita Mbumbumbu
 
Hili nalifahamu tangu mwaka 1991.
 
Ni sahihi ..ila timu yao ikiwa vizuri hujitokeza kwa wingi kuliko Simba...
Sasa kama hadi iwe vizuri ndio waingie uwanjani, basi kumbe mwaka au msimu huu wote wa ligi wataingia wachache sana
 
Sasa kama hadi iwe vizuri ndio waingie uwanjani, basi kumbe mwaka au msimu huu wote wa ligi wataingia wachache sana

Hayo ni mawazo yako...msimu ndiyo kwanza umeanza tusubiri tuone...
 
Tatizo huwa unaendaga nunua gazeti ukiskia yanga kafungwa ndo maana unakutana na balaa ila simba akifungwa hununui by the way acha kampeni ya kuchafua kazi za watu wewe kama ni agent wa magazeti like msimbazi, champion and so on tafuta style nyingine ya kutangaza biashara yako na si kuharibu kazi za watu mother........ fu.........!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…