nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Tuache lawama wana lunyasi...
Kilichotokea jana ni tafsiri halisi ya ligi yenye ushindani...
Si hivyo tu, matokeo ya jana yanaondoa uvumi kuwa Azam hucheza kwa low intensity ili kuifaidisha Simba...
Binafsi najua hata Uto anaenda kukutana na moto wa Azam na ataangusha alama.
Kilichotokea jana ni tafsiri halisi ya ligi yenye ushindani...
Si hivyo tu, matokeo ya jana yanaondoa uvumi kuwa Azam hucheza kwa low intensity ili kuifaidisha Simba...
Binafsi najua hata Uto anaenda kukutana na moto wa Azam na ataangusha alama.