Wana Simba tususie kuingia Uwanjani kama Matola na Cadena Wataiongoza Simba mechi ya Asec

Wana Simba tususie kuingia Uwanjani kama Matola na Cadena Wataiongoza Simba mechi ya Asec

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Viongozi lazima wawe siliasi.

Kulikuwa na mda wa kutosha kupata kocha mzuri. Na kama Mo amekataa kutoa Mpunga akitaka mumpe timu Mgunda sasa kwanini mzilie kwa kumwachia Matola. Matola kaachiwa timu mara ngapi kaishindwa. Kama wanampenda sana wampe u ceo tu.

Kadena Toka aje kama kocha wa makipa beki zinakatika, Makipa hawajui kuongea na beki, Viwango vyao vinashuka kama walivyo Azam.

Kama hawamtaki Mgunda wachukue kocha wa Asec basi. Na kuuza wachezaji muhimu mno kila mwaka timu ina consistance.

Naapa siingiii uwanjani au ntaingia kuzomea.

Kama timu ni ya Kajula akashangilie yeye. Cadena hajawahi kuwa kocha, vipi apewe mechi muhimu kiasi kile.
 
Shida mashabiki watadanganywa wakajaze uwanja halafu Kipigo juu. Matola wa Nini Tena Simba. Timu baadala iende mbele inaanza kurudi ilikotoka. Shida Simba Viongozi hawana vision.

Ila siku mashabiki wakigoma kwenda uwanjani ndipo akili za Viongozi zitakaa vizuri.
 
Kwa jicho latatu naona kuna siri kubwa sana ya kuihujumu simba iliyochezwa na wakina try again,mangungo,msemaji na baadhi ya wachezaji kwa malengo malengo fulani fulani.

Either ni kumkomoa Mo,au ni mapandikizi ya yanga wkaamua kufanya hivyo kwa mapenzi yao au ubinafsi na kutokuwa na uzalendo na simba sc

Sasa ilikuficha uozo wao uongozi inalazimisha kocha atayekuja kuchunga maslahi yao au wanamuofia mgunda kwasababu anaweza kuja kutoa mambo aliyojificha kuanzia kwa hao wacheza mpaka uongozi kwa ujumla..Mo anatakiwa akaze
 
Kwa jicho latatu naona kuna siri kubwa sana ya kuihujumu simba iliyochezwa na wakina try again,mangungo,msemaji na baadhi ya wachezaji kwa malengo malengo fulani fulani.
Either ni kumkomoa Mo,au ni mapandikizi ya yanga wkaamua kufanya hivyo kwa mapenzi yao au ubinafsi na kutokuwa na uzalendo na simba sc

Sasa ilikuficha uozo wao uongozi inalazimisha kocha atayekuja kuchunga maslahi yao au wanamuofia mgunda kwasababu anaweza kuja kutoa mambo aliyojificha kuanzia kwa hao wacheza mpaka uongozi kwa ujumla..Mo anatakiwa akaze
Hoja yako ni kwamba Simba haikustahili kufungwa? Ikifungwa lazima kuwepo na Wachezaji/viongozi waliouza Mechi? Kwa Aina ya Wachezaji waliopo lilikuwa suala la Muda tu kabla ya timu kudhalilika.
 
Kuna wakati ac Milan wakati inaongozwa na marehemu waziri mkuu was Italy mashabiki walimwambia usiponunua mastar hatuingii uwanjani ikabidi aingie sokoni , ndio kipindi ikateka sokoni pa ulaya.
Mashabiki wa Simba hawatambui thamani yao, Kama wakitambua uongozi unaondoka mapema. Uongozi hauna uchungu na timu ndio maana wamekataa kujiuzulu baada ya kipigo cha aibu. Mashabiki wamebaki kubeba mabango ya kusifia viongozi wa siasa na kumsaidia mo Ila tukiamua tunaweza.
 
Na msipokuwa makini mechi ya Asec itawamaliza kabisa.

Sijui ni nani alitoa ushauri wa kijinga wa kumuondoa kocha huku timu imebakiza wiki 2 kuelekea mechi ngumu za makundi ya klabu bingwa Afrika.
Kumbe na wewe mwananchi

Aisee nakuja kukuchumbia faster
 
Viongozi lazima wawe siliasi.
Kulikuwa na mda wa kutosha kupata kocha mzuri. Na kama Mo amekataa kutoa Mpunga akitaka mumpe timu Mgunda sasa kwanini mzilie kwa kumwachia Matola.
Matola kaachiwa timu mara ngapi kaishindwa. Kama wanampenda sana wampe u ceo tu.

kadena Toka aje kama kocha wa makipa beki zinakatika, Makipa hawajui kuongea na beki, Viwango vyao vinashuka kama walivyo Azam.

Kama hawamtaki Mgunda wachukue kocha wa Asec basi. Na kuuza wachezaji muhimu mno kila mwaka timu ina consistance.

Naapa siingiii uwanjani au ntaingia kuzomea.

Kama timu ni ya Kajula akashangilie yeye. Cadena hajawahi kuwa kocha, vipi apewe mechi muhimu kiasi kile.
kwenye hilo swala la kuzomea tutaungana mtani...
 
Viongozi lazima wawe siliasi.
Kulikuwa na mda wa kutosha kupata kocha mzuri. Na kama Mo amekataa kutoa Mpunga akitaka mumpe timu Mgunda sasa kwanini mzilie kwa kumwachia Matola.
Matola kaachiwa timu mara ngapi kaishindwa. Kama wanampenda sana wampe u ceo tu.

kadena Toka aje kama kocha wa makipa beki zinakatika, Makipa hawajui kuongea na beki, Viwango vyao vinashuka kama walivyo Azam.

Kama hawamtaki Mgunda wachukue kocha wa Asec basi. Na kuuza wachezaji muhimu mno kila mwaka timu ina consistance.

Naapa siingiii uwanjani au ntaingia kuzomea.

Kama timu ni ya Kajula akashangilie yeye. Cadena hajawahi kuwa kocha, vipi apewe mechi muhimu kiasi kile.
Naitunza hii thread
 
Viongozi lazima wawe siliasi.
Kulikuwa na mda wa kutosha kupata kocha mzuri. Na kama Mo amekataa kutoa Mpunga akitaka mumpe timu Mgunda sasa kwanini mzilie kwa kumwachia Matola.
Matola kaachiwa timu mara ngapi kaishindwa. Kama wanampenda sana wampe u ceo tu.

kadena Toka aje kama kocha wa makipa beki zinakatika, Makipa hawajui kuongea na beki, Viwango vyao vinashuka kama walivyo Azam.

Kama hawamtaki Mgunda wachukue kocha wa Asec basi. Na kuuza wachezaji muhimu mno kila mwaka timu ina consistance.

Naapa siingiii uwanjani au ntaingia kuzomea.

Kama timu ni ya Kajula akashangilie yeye. Cadena hajawahi kuwa kocha, vipi apewe mechi muhimu kiasi kile.
TIPIGE NA KELELEE WAONDOKE,,UKIONA KOCHA KAONDOKA BENCH LIMEBAKI ANAEKUJA AKIJICHANGANYA ANAMFWATA ALIEONDOKA
 
Back
Top Bottom