Wana Simba tususie kuingia Uwanjani kama Matola na Cadena Wataiongoza Simba mechi ya Asec

Wana Simba tususie kuingia Uwanjani kama Matola na Cadena Wataiongoza Simba mechi ya Asec

Na msipokuwa makini mechi ya Asec itawamaliza kabisa.

Sijui ni nani alitoa ushauri wa kijinga wa kumuondoa kocha huku timu imebakiza wiki 2 kuelekea mechi ngumu za makundi ya klabu bingwa Afrika.
Ni muweweseko tu. Kichapo kulikua kikali kile.
Watu walikua wamejiandaa na gepu la alama 6 matokeo yake mmmh!
[emoji24][emoji2772]
 
Na msipokuwa makini mechi ya Asec itawamaliza kabisa.

Sijui ni nani alitoa ushauri wa kijinga wa kumuondoa kocha huku timu imebakiza wiki 2 kuelekea mechi ngumu za makundi ya klabu bingwa Afrika.
Acha yafungwe tupate RAHA
 
Mimi niende Uwanjani Kocha seleman Matola,amepewa timu ya wadogo inashika mkia bila aibu wanamleta huku? Wee selememani weee seele[emoji2295]
 
Kwa jicho latatu naona kuna siri kubwa sana ya kuihujumu simba iliyochezwa na wakina try again,mangungo,msemaji na baadhi ya wachezaji kwa malengo malengo fulani fulani.
Either ni kumkomoa Mo,au ni mapandikizi ya yanga wkaamua kufanya hivyo kwa mapenzi yao au ubinafsi na kutokuwa na uzalendo na simba sc

Sasa ilikuficha uozo wao uongozi inalazimisha kocha atayekuja kuchunga maslahi yao au wanamuofia mgunda kwasababu anaweza kuja kutoa mambo aliyojificha kuanzia kwa hao wacheza mpaka uongozi kwa ujumla..Mo anatakiwa akaze
Weka jicho lako la nne, utabaini haya hizo 5G mlizopigwa ni ndogo.

Mliwakejeri wenzetu waliopigwa 5G kwa kuziita timu dhaifu, sasa tukubaliane walioukalia mnara wa 5G wote dhaifu.
 

Attachments

  • 20231105_233611.jpg
    20231105_233611.jpg
    42.1 KB · Views: 2
Na msipokuwa makini mechi ya Asec itawamaliza kabisa.

Sijui ni nani alitoa ushauri wa kijinga wa kumuondoa kocha huku timu imebakiza wiki 2 kuelekea mechi ngumu za makundi ya klabu bingwa Afrika.
Big Brain.!walikurupuka
 
Silvio Berlusconi huyu masta si kafa jun mwaka huu kama sikosei
Kuna wakati ac Milan wakati inaongozwa na marehemu waziri mkuu was Italy mashabiki walimwambia usiponunua mastar hatuingii uwanjani ikabidi aingie sokoni , ndio kipindi ikateka sokoni pa ulaya.
Mashabiki wa Simba hawatambui thamani yao, Kama wakitambua uongozi unaondoka mapema. Uongozi hauna uchungu na timu ndio maana wamekataa kujiuzulu baada ya kipigo cha aibu. Mashabiki wamebaki kubeba mabango ya kusifia viongozi wa siasa na kumsaidia mo Ila tukiamua tunaweza.
 
Na msipokuwa makini mechi ya Asec itawamaliza kabisa.

Sijui ni nani alitoa ushauri wa kijinga wa kumuondoa kocha huku timu imebakiza wiki 2 kuelekea mechi ngumu za makundi ya klabu bingwa Afrika.
Bongo lazima watafute mbuzi wa kafara.... Kocha kapoteza mechi Moja tu wakamfukuza..... Kutwa walikua wanamsifia Mzee wa objective football
 
Back
Top Bottom